Pre GE2025 Jakaya Kikwete: Niwaambie kuwa mambo mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko

Pre GE2025 Jakaya Kikwete: Niwaambie kuwa mambo mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameupongeza uongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bukombe kwa Mkutano Mkuu Maalum wa kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Bukombe kwa mwaka 2020-2025.

Amebainisha kuwa miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa inaonekana na ina faida kwa wananchi huku akieleza jitihada za Dkt. Biteko za kuleta maendeleo katika Jimbo hilo. “ Naomba kuwahakikishia kuwa hamkufanya makosa kumpa kura zenu Dkt. Biteko, naomba niwaambie kuwa mambo haya mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko.”

Soma Pia:
Aidha, Rais Kikwete amewaasa wananchi wa Bukombe kuwachagua wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ili kuendeleza miradi ya maendeleo katika Jimbo hilo.

Snapinst.app_472719289_18096366334513179_4185018664414553966_n_1080.jpeg
Snapinst.app_472617623_18096366343513179_6851674215895453293_n_1080.jpeg
Snapinst.app_472720782_18096366361513179_785092204853834085_n_1080.jpeg
 
Huyu ndiye vuvuzera la saa100 kwa Sasa halafu wanataka kumuweka mnyarwanda awe waziri mkuu.

Ili nchi uendelee kuwa shamba la Bibi na magenge ya wizi na ufisadi!!

Mkifanikiwa Niko pale nawacheki tu!!!
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameupongeza uongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bukombe kwa Mkutano Mkuu Maalum wa kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Bukombe kwa mwaka 2020-2025.

Amebainisha kuwa miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa inaonekana na ina faida kwa wananchi huku akieleza jitihada za Dkt. Biteko za kuleta maendeleo katika Jimbo hilo. “ Naomba kuwahakikishia kuwa hamkufanya makosa kumpa kura zenu Dkt. Biteko, naomba niwaambie kuwa mambo haya mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko.”

Soma Pia:
Aidha, Rais Kikwete amewaasa wananchi wa Bukombe kuwachagua wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ili kuendeleza miradi ya maendeleo katika Jimbo hilo.

View attachment 3229218View attachment 3229219View attachment 3229220
Hivi siku hizi wakubwa huwa wanaongea uongo
 
Nini maana ya asa (kuasa/waasa) kama ilivyotumika katika habari hii?
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameupongeza uongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bukombe kwa Mkutano Mkuu Maalum wa kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Bukombe kwa mwaka 2020-2025.

Amebainisha kuwa miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa inaonekana na ina faida kwa wananchi huku akieleza jitihada za Dkt. Biteko za kuleta maendeleo katika Jimbo hilo. “ Naomba kuwahakikishia kuwa hamkufanya makosa kumpa kura zenu Dkt. Biteko, naomba niwaambie kuwa mambo haya mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko.”

Soma Pia:
Aidha, Rais Kikwete amewaasa wananchi wa Bukombe kuwachagua wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ili kuendeleza miradi ya maendeleo katika Jimbo hilo.

View attachment 3229218View attachment 3229219View attachment 3229220
Huyu dingi vp? Mbona hataki kustaafu?
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameupongeza uongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bukombe kwa Mkutano Mkuu Maalum wa kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Bukombe kwa mwaka 2020-2025.

Amebainisha kuwa miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa inaonekana na ina faida kwa wananchi huku akieleza jitihada za Dkt. Biteko za kuleta maendeleo katika Jimbo hilo. “ Naomba kuwahakikishia kuwa hamkufanya makosa kumpa kura zenu Dkt. Biteko, naomba niwaambie kuwa mambo haya mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko.”

Soma Pia:
Aidha, Rais Kikwete amewaasa wananchi wa Bukombe kuwachagua wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ili kuendeleza miradi ya maendeleo katika Jimbo hilo.

View attachment 3229218View attachment 3229219View attachment 3229220
Hiki kizee nuksi sana
 
mtampamba sana, lakin huyu si mwenzetu, ni kati ya wale mamluki wa CDF,
ila tulishashtuka,
 
Nje ya madam hv Kikwete mnafahamu ni mwamba wa siasa eneo lote la maziwa makuu. Kuna wakati huwezi tambua jamaa anawaza au analenga nn ila mpaka sasa kikwete raisi wa Nchi ajaye anamfahamu pasi na shaka na wala sio mama samia.
 
Rais Mstaafu wa Awamu ya Nne Mhe. Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, ameupongeza uongozi wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Bukombe kwa Mkutano Mkuu Maalum wa kutoa taarifa ya Utekelezaji wa Ilani ya CCM Jimbo la Bukombe kwa mwaka 2020-2025.

Amebainisha kuwa miradi iliyotekelezwa na inayoendelea kutekelezwa inaonekana na ina faida kwa wananchi huku akieleza jitihada za Dkt. Biteko za kuleta maendeleo katika Jimbo hilo. “ Naomba kuwahakikishia kuwa hamkufanya makosa kumpa kura zenu Dkt. Biteko, naomba niwaambie kuwa mambo haya mazuri ya Bukombe yasingetokea kama msingemchagua Dkt. Biteko.”

Soma Pia:
Aidha, Rais Kikwete amewaasa wananchi wa Bukombe kuwachagua wagombea wa CCM katika Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025 ili kuendeleza miradi ya maendeleo katika Jimbo hilo.

View attachment 3229218View attachment 3229219View attachment 3229220
Kampeni za kijinga kumpamba mtutsi
 
Back
Top Bottom