Fact!!!!Hii tetesi nilisikia pia kwamba jiwe liliazimia kuwaondoa wastaafu wote kwanza na ndipo jambo lake likae sawa hakuwa na shida na mzee ruksa na karata ilianzia lupaso ikachezwa kwa ustadi kweli, kwakweli tetesi zinasema lile tukio lilimtahayarisha sana mzee wa msoga na alishtushwa sana na jambo lile na tatizo mzee wa lupaso hakuwa na ujasusi kivilee sasa mzee wa msoga nae akaanza kuliwa mingo ila kwa vile naye ni jasusi tena jasusi kweli kweli tena jasusi lililo kulia mjini hata Mwl.Nyerere alimfahamu hivyo,hahaaaaa jiwe lika dondoshwa mapema kabla.
Hili suala la kuongezewa mda huwa linaibuka mda wote wote wa awamu za utawala, kuanzia kwa Mkapa na Kikwete yaliibuka sana kuwa waongezwe mda, Magufuli alimtuma Polepole mala mbili kuwaambia CCM na wananchi kuwa ana nia ya kujiongezea mda hata kidogo.Sasahivi wanafanya kila mbinu kuchafua Magufuli haonekane ni kiongozi aliyekuwa hafai, Magufuli ataendelea kuwatesa sana maana aliteka sana mioyo ya wanyenge hivyo mtu wa chini kumsahau Magufuli sahau,pigeni Kazi zionekane ndio watu wanamsahau Magufuli lasivyo hakuna anaweza kusahau mziki wa Magufuli.Akiwa kwenye mahojiano na kipindi maalum cha Clouds leo aliyekuwa Rais wa awamu ya Nne Jakaya Kikwete amesema kuwa mchakato uliokuwa mgumu zaidi kwake ni kuzuia uhuni wa kubadili muhula wa uongozi ndani ya CCM kutoka miaka mitano kuwa saba.
Jakaya anasema mjadala ulipoletwa ulikuwa ni moto ila tayarI CCM kulikuwa na utaratibu wa miaka mitano na uamuzi huo uheshimiwe.
======
KUONGEZA MIAKA YA URAIS
Kikwete: Kuna kipindi walianza sana mjadala wa kubadili katiba sijui iwe miaka 7, pale wazee tulishauriana tukasema hapana, huku wanapotaka kutupeleka hawa sipo.
Nchi yetu ina viwango, hapa ilipofikia heshma yake kubwa ni kuheshimu vipindi viwili vya miaka mitano, wakianza hawa na miaka 7 huko tunakokwenda siko.
Nakumbuka tulikutana wazee na siku hizi hamna haja kukutana hata kwa simu mnaunganisha, tukakubaliana hawa lazima tuwaambie vijana hawa.
Alikusudia kuwarudisha kwenye system kwa njia nyingine, halafu anasema wewe ni mungwana sana toka ukatwe sijawahi kusikia neno lakoHalafu yule fisimaji ili kujifanya hayuko nao akawakata!!
Hali ya Mgonjwa huwa inanadilika ndani ya sekunde kadhaa.Nakumbuka JK alijitokeza hadharani na kusema. "Mkapa nilimtembelea jana na hali yake haikuwa mbaya zaidi ya kujisikia maumivu sehemu za tumbo sasa leo nasikia amefariki nimeshangaa kwelikweli" hapo hata yeye alipigwa butwaa labda kweli kuna mchezo ulifanyika
Ni kweli wapinzani wao wenyewe walimtibua jiwe kwa midomo yao michafu, wakasema ana phd fake,,Waliokosea ni upinzani, kama wangeamua kuungana naye naamini kubadilisha katiba ingekuwa kazi rahisi sana. Sasa kutokana na pinga Pinga zao Mambo yakawa kama yalivyokuwa.
Rasimu ilikuwa ni ya warioba,, baada ya kuwa processed nifio ikazaa katiba pendekezwa, inayoitwa ya chenge,,Ilikuwa rasimu ya Chenge
Huyu nae muhuni tu kama wahuni wengine...rasimu aliipiga teke imetufikisha wapi? Kuwa madarakani hata miaka mia sio hoja, hoja ni nini umetufanyia...full stop. Kagame mwaka wa ngapi leo? Mbowe, Museven? Bibi yenu alikaa 70years so hoja sio kukaa madarakani hoja ni maendeleo ya watu na vitu kwa ujumla wake umesimamiaje? Njia za kukuza uchumi unazopita ni zipi?, sera za kuchochea maendeleo zinapishwaje na kusimamiwaje? Ukiwa mbovu kama bi tozo na JKY hata mwaka mmoja tu hutufahi.
Machufuko yanini? Mkuu ili swala hayati Magufuli alilishakijibia kuwa hatoongeza ata dakika 1! Kwani ata humfatilii Jakaya? Hujagundua tu kuwa Jakaya alikuwa na Kinyongo na Magufuli? Kumbuka issue ya Kikombe cha Babu wa Loliondo alivyoizungumziia Jakaya hapa majuzi majuzi
Sielewi unaongea lugha ipi.Huyo aliyezaliwa juzi....
Kwa hiyo Magu alitaka katiba ibadilishe muhula wa urais kabla ya 2015?Bora kakufa zake. Lingetuletea machafuko bureeee.
Ni kweli usemayo.Sielewi unaongea lugha ipi.
Naona unajing'ata ng'ata tu. Ikiwa hata jina la mtu unaemsibulia huwezi kulitaja. Ujuwe happo nafsi inakusuta.
Huna zqidi, ni mnafiki tu, hata nafsi yako imeliona hilo.
Majizi ya msoga yanatafuta namna ya kuhalalisha ukwapuzi wa maliasili za nchi kwa kumchafua JPMKwa hiyo Magu alitaka katiba ibadilishe muhula wa urais kabla ya 2015?
Maana mzee Kikwete anaelezea miaka ya awamu yake.
Mnavyojituma kutafsiri ni kana kwamba mnatafuta angle awazalishe
probably wewe ni mmoja wa wahuni mliokuwa mnapanga mipango ya kihuni sasa mmepopolewa,hakuna namna kaeni kimya,unarusha mateke ya mwisho mwisho kabla ya kukata roho,wenye akili wamesha tune vyema taifa linakwenda vizuri Kwa sasa alhamdu lilah taalah!Unajichekesha tu ila nimekubutua na huyo KIBAKA WAKO KIKWETE.
Yes indeed, nashughulika nae mtandaoni kwa kumbagaza na kumshushua. Na kumtusi pia.
INAKUCHOMA. Ati jasusi ... nyokoo [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] labda jasusi wa ufisadi na uporaji wa rasilimali zetu.
Mwizi wa kawaida sana yule. Hana ujasusi wowote.
UBABE UBABE TU,NA KIBABE TONGE TUMESHALITOA MIKONONI MWA WAHUNI UCHWARA, KAENI KIMYA KUMBUKENI CCM HAIWEZI KUKOSEA TENA.PIA ELEWENI RAIS AJAE NI J MAKAMBA 2030-40.Kikwete ni kibaka wa kawaida sana. Hana ujasusi wowote.
Anawalaghai mandondocha wake tu mnaomtetea mitandaoni.
Kwa tunaomjua tunafahamu fika, huyo mwizi ni wa kawaida sana mwenye uwezo duni wa kiutendaji na kitaaluma.
Hapo kwenye miaka Mia,ilikuwa birthday ya mamake bi mgaya kutimiza miaka 90 kakasema eti kwa Kuwa mamake katimiza miaka hiyo na hakuwa na maisha mazuri kama Kenyewe ati kakasema kenyewe katafikisha 100 kabisa utasema kana mkataba na Muumba na haikupita miaka hata miwili kakaaga duniaSi kweli Butiama wakati anakabidhiwa jumba lake alilojengewa alitoa speech kwani yeye TEMBO mpaka apewe jumba kubwa? Alikuwa fiti kinoma na kwa afya yake alitoa ahadi ya kuishi hadi miaka 100....(siwaahidi kuishi miaka 100 kama alivyowaahidi hayati nyerere kwa ili sipingiki mmevamia meli kumbe meli ya wagiriki hamponi hamsilimiki-Pina)
RAIS AJAE NI J MAKAMBA 2030-40.
Cha ajabu ni ni nini hapo?Nakumbuka JK alijitokeza hadharani na kusema. "Mkapa nilimtembelea jana na hali yake haikuwa mbaya zaidi ya kujisikia maumivu sehemu za tumbo sasa leo nasikia amefariki nimeshangaa kwelikweli" hapo hata yeye alipigwa butwaa labda kweli kuna mchezo ulifanyika
Aulizwe JKCha ajabu ni ni nini hapo?
Anakufa mzima asiyeumwa hata na upele, itakua mgonjwa alitembelewa?