Jakaya Kikwete: Wazee tulikataa kubadili Katiba muhula wa Urais kutoka miaka 5 kuwa miaka 7

Fact!!!!

Sent from my using JamiiForums mobile app
 
Hili suala la kuongezewa mda huwa linaibuka mda wote wote wa awamu za utawala, kuanzia kwa Mkapa na Kikwete yaliibuka sana kuwa waongezwe mda, Magufuli alimtuma Polepole mala mbili kuwaambia CCM na wananchi kuwa ana nia ya kujiongezea mda hata kidogo.Sasahivi wanafanya kila mbinu kuchafua Magufuli haonekane ni kiongozi aliyekuwa hafai, Magufuli ataendelea kuwatesa sana maana aliteka sana mioyo ya wanyenge hivyo mtu wa chini kumsahau Magufuli sahau,pigeni Kazi zionekane ndio watu wanamsahau Magufuli lasivyo hakuna anaweza kusahau mziki wa Magufuli.
 
Hali ya Mgonjwa huwa inanadilika ndani ya sekunde kadhaa.

Kama kuna jamaa nilimuendea Hospitali nikampelekea mihogo ya kukaanga kumbe alikuwa na kisukari akaingia kwenye koma.

Usiku wake nikaasikia kavuta nikawa najilaumu kwanini nimempa mihogo.
 
Waliokosea ni upinzani, kama wangeamua kuungana naye naamini kubadilisha katiba ingekuwa kazi rahisi sana. Sasa kutokana na pinga Pinga zao Mambo yakawa kama yalivyokuwa.
Ni kweli wapinzani wao wenyewe walimtibua jiwe kwa midomo yao michafu, wakasema ana phd fake,,
Pamoja na jamaa kutaka kuwafurahisha mara tu alupokamata madaraka, akamwachia babu seya ambaye wapinzani walikua wakisema alifungwa kwa hila na mzee wa msoga, wakati ukweli ni kuwa Babu seya na watoto wake walibaka watoto awamu ya mzee lupaso,,
Alipoingia tu madaraka alitimiza kilio cha wapinzani, kununua ndege, tena kwa cash,, wapinzani wakamgeuka tena na kumtukana ni vipi ananunua ndege wakati si jambo la maana😁😁,
Wapinzani walikua wakisema Rugemalila na singer wa PAP ni mafisadi, wamegawana pesa kwenye sandalusi,, ili kuwafurahisha jiwe akawaweka ndani, wakati kesi yenyewe haikuwepo ya kujibu, maana tuhuma zilikua ni political motivated😆
Jamaa alifanya kila kitu ili tu wapinzani wamkubali,, na hilo ndo lilimtibua hasa akaanza kuwa displine
 
Ilikuwa rasimu ya Chenge
Rasimu ilikuwa ni ya warioba,, baada ya kuwa processed nifio ikazaa katiba pendekezwa, inayoitwa ya chenge,,
Ile ya warioba sio katiba ni RASIMU, au ili uelewe vizuri warioba ni kama katiba ghafi,, haijawa processed ili sasa iwe katiba,, so ilikua processed ni tukapata ya chenge
 

Mi niliacha kushabikia siasa, ujue michezo kwenye siasa na ujasusi wote wanafanyiana wao kwa wao na gem zinachezwa ndani kwa ndani si uku nje tunakuja kuoneshwa picha la uongo ila wao ndo wanajuana wanayofanyiana binafsi jiwe angeongeza asingeongea kwangu its dosent motter as long as naona kaniwekea njia kwenye mambo yangu yanaenda na ndo kama saivi navyoona mambo kidogo hayaendi vizuri natulia najua muda wangu ulikua ni ule saivi ni muda wa wengine fresh tu.
 

Watu wasijua ni kua hawa walikua na bifu zao walikua maadui tokanitoke sasa tangu lini utegemee adui aliekuchafua ndo aje akusafie tena kwa kipindi kama hiki ambapo media ndo majukwaa ya kucheza na akili za watu
 
Bora kakufa zake. Lingetuletea machafuko bureeee.
Kwa hiyo Magu alitaka katiba ibadilishe muhula wa urais kabla ya 2015?

Maana mzee Kikwete anaelezea miaka ya awamu yake.

Mnavyojituma kutafsiri ni kana kwamba mnatafuta angle awazalishe
 
Sielewi unaongea lugha ipi.

Naona unajing'ata ng'ata tu. Ikiwa hata jina la mtu unaemsibulia huwezi kulitaja. Ujuwe happo nafsi inakusuta.

Huna zqidi, ni mnafiki tu, hata nafsi yako imeliona hilo.
Ni kweli usemayo.
 
Kwa hiyo Magu alitaka katiba ibadilishe muhula wa urais kabla ya 2015?

Maana mzee Kikwete anaelezea miaka ya awamu yake.

Mnavyojituma kutafsiri ni kana kwamba mnatafuta angle awazalishe
Majizi ya msoga yanatafuta namna ya kuhalalisha ukwapuzi wa maliasili za nchi kwa kumchafua JPM
 
probably wewe ni mmoja wa wahuni mliokuwa mnapanga mipango ya kihuni sasa mmepopolewa,hakuna namna kaeni kimya,unarusha mateke ya mwisho mwisho kabla ya kukata roho,wenye akili wamesha tune vyema taifa linakwenda vizuri Kwa sasa alhamdu lilah taalah!
 
Kikwete ni kibaka wa kawaida sana. Hana ujasusi wowote.

Anawalaghai mandondocha wake tu mnaomtetea mitandaoni.

Kwa tunaomjua tunafahamu fika, huyo mwizi ni wa kawaida sana mwenye uwezo duni wa kiutendaji na kitaaluma.
UBABE UBABE TU,NA KIBABE TONGE TUMESHALITOA MIKONONI MWA WAHUNI UCHWARA, KAENI KIMYA KUMBUKENI CCM HAIWEZI KUKOSEA TENA.PIA ELEWENI RAIS AJAE NI J MAKAMBA 2030-40.
 
Hapo kwenye miaka Mia,ilikuwa birthday ya mamake bi mgaya kutimiza miaka 90 kakasema eti kwa Kuwa mamake katimiza miaka hiyo na hakuwa na maisha mazuri kama Kenyewe ati kakasema kenyewe katafikisha 100 kabisa utasema kana mkataba na Muumba na haikupita miaka hata miwili kakaaga dunia
 
Cha ajabu ni ni nini hapo?

Anakufa mzima asiyeumwa hata na upele, itakua mgonjwa alitembelewa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…