Umekosea aseeNimejua tu
Siyo yanguJibu swali Shahidi acha kuuliza swali kabla hujajibu swali...Ni hayo tu.
Mkuu ni wewe...nina uhakika 💯Umekosea asee
Huyo ni fisadi kama baba yake tu!! Unahangaika sana kumsafisha Huyu nyadundo!Bendanda, Mimi sio Ridhiwani nakwambia tu matatizo ya Jakaya Kikwete; anavyolea walea watoto zake na kudekeza watoto wa marafiki zake ni tofauti kabisa.
Jakaya Kikwete watoto zake wake wote ni employed professionals on merit ukitoa wa mwisho.
J.K achukulii poa malezi ya watoto zake pamoja na mihela yake kama urithi baadae, ila anataka wajitegemee kwanza.
Tatizo mitoto ya rafiki zake ambayo anaipigania itatoboa kupitia CCM.
Ridhiwani ni tofauti na Nape na January; hata kama wanapiga deal zaidi yake. Ridhiwani ana miradi yake ambayo ilibidi ajinyime kuwekeza toka alivyoanza ubunge huyo ndio Jakaya Kikwete kwa malezi ya watoto wake jipange.
Ndio maana umuoni Ridhiwani akijependejeza kama Nape na January; kutafuta teuzi.
Uhakika unautoa wapi? waulize modsMkuu ni wewe...nina uhakika 💯
Poa mkuu, nitakuwa nimechanganya mamboUhakika unautoa wapi? waulize mods
Asante mkuuPoa mkuu, nitakuwa nimechanganya mambo
Ajipeleke mwenyewe wamlime tofaliUhakika unautoa wapi? waulize mods
Ili akomeAjipeleke mwenyewe wamlime tofali
Acha waongee tu kiongozi kelele haziwezi kuisha dunia hii kwenye ulaji lazima kuwe na manenonitajieni nchi moja duniani ambayo mtoto wa Rais ni kapuku aka rofa aka masikini...
Wakiwa matajiri tunapiga kelele, wakiwa viongozi tunapiga kelele..sasa tunatakaje jamani kama sio roho za umasikini hizi....
Watoto wa maRais au viongozi nao ni binadamu wanaohitaji kuishi kama wengine tunavyoishi, kama kuna mahala kuna opportunity nao wanahitaji kuzitumia pia...kama kuna mahala...
Baba yako akiwa Rais huruhusiwi kuwa Waziri, RC au Tajiri ?....
Nani kakutuma umsemee? Umekosa kabisa la kufanya hata kulala basiHivi mnajua Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mapungufu yake ya uraisi ni baba bora. Huyu mzee kwa nafasi yake amelea watoto zake kwa kuwapa fikra za kujitegemea. Jukumu lake amewawezesha kufikia malengo yao kama mzazi mwingine yeyote wajitegemee bila ya yeye.
Sasa mtoto ambae utajiri wake anaweza zushiwa mengi ni Ridhiwani kwa wasiomjua Jakaya Kikwete. Ridhiwani amekuwa mbunge toka baba yake rais. Ila kwa kanuni za baba yake kila mtoto wake ajitegemee.
Ridhiwani amekuwa akitumia mapato ya ubunge kuwekeza kwenye vitega uchumi ambavyo wengi hamvijui siku mkivujua mtashangaa kama ni vyake na mtamuzushia mengi vya ufisadi; ila ni mali za jasho lake yupo poa kwa jitihada zake na kwa kanuni za ulezi wa baba yake ambae anataka watoto zake wajitegemee.
Tatizo la Jakaya Kikwete kanuni anazotumia kulea watoto zake sio anazotumia ku encourage kwa watoto wa marafiki zake ambao inabidi wajipendekeze CCM kuishi na wanachopata hawawezi kujiendeleza; na ndio hicho kinachomfanya huyu mzee kupambania influence ndani ya CCM.
Ila tuambizane ukweli baba yake Ridhiwani ni fisadi we all know, nonetheless kwa malezi aliyopewa Ridhiwani amewekeza na anafanya yake kabla ya uwaziri kwa hela zake; alichonacho Ridhiwani na wadogo zake ni jasho lao.
Tatizo ni mijitu kama Nape na January; Jakaya Kikwete anadekeza sana mitoto ya rafiki zake.
My friend, no need to INSULT OUR INTELLIGENCE. We’re not that stupid! Wewe huwezi kumzidi akili JK. Anajua anachofanya. Anajua anavyosuka mitandao inayomletea utajiri mchafu bila kuiathiri familia yake. Anawaendekeza Nape na January akiwaacha watoto wake? That’s really dumb.Bendanda, Mimi sio Ridhiwani nakwambia tu matatizo ya Jakaya Kikwete; anavyolea walea watoto zake na kudekeza watoto wa marafiki zake ni tofauti kabisa.
Jakaya Kikwete watoto zake wake wote ni employed professionals on merit ukitoa wa mwisho.
J.K achukulii poa malezi ya watoto zake pamoja na mihela yake kama urithi baadae, ila anataka wajitegemee kwanza.
Tatizo mitoto ya rafiki zake ambayo anaipigania itatoboa kupitia CCM.
Ridhiwani ni tofauti na Nape na January; hata kama wanapiga deal zaidi yake. Ridhiwani ana miradi yake ambayo ilibidi ajinyime kuwekeza toka alivyoanza ubunge huyo ndio Jakaya Kikwete kwa malezi ya watoto wake jipange.
Ndio maana umuoni Ridhiwani akijependejeza kama Nape na January; kutafuta teuzi.
Mtoto wa nyoka ni nyoka.Hivi mnajua Jakaya Mrisho Kikwete pamoja na mapungufu yake ya uraisi ni baba bora. Huyu mzee kwa nafasi yake amelea watoto zake kwa kuwapa fikra za kujitegemea. Jukumu lake amewawezesha kufikia malengo yao kama mzazi mwingine yeyote wajitegemee bila ya yeye.
Sasa mtoto ambae utajiri wake anaweza zushiwa mengi ni Ridhiwani kwa wasiomjua Jakaya Kikwete. Ridhiwani amekuwa mbunge toka baba yake rais. Ila kwa kanuni za baba yake kila mtoto wake ajitegemee.
Ridhiwani amekuwa akitumia mapato ya ubunge kuwekeza kwenye vitega uchumi ambavyo wengi hamvijui siku mkivujua mtashangaa kama ni vyake na mtamuzushia mengi vya ufisadi; ila ni mali za jasho lake yupo poa kwa jitihada zake na kwa kanuni za ulezi wa baba yake ambae anataka watoto zake wajitegemee.
Tatizo la Jakaya Kikwete kanuni anazotumia kulea watoto zake sio anazotumia ku encourage kwa watoto wa marafiki zake ambao inabidi wajipendekeze CCM kuishi na wanachopata hawawezi kujiendeleza; na ndio hicho kinachomfanya huyu mzee kupambania influence ndani ya CCM.
Ila tuambizane ukweli baba yake Ridhiwani ni fisadi we all know, nonetheless kwa malezi aliyopewa Ridhiwani amewekeza na anafanya yake kabla ya uwaziri kwa hela zake; alichonacho Ridhiwani na wadogo zake ni jasho lao.
Tatizo ni mijitu kama Nape na January; Jakaya Kikwete anadekeza sana mitoto ya rafiki zake.
Jibu swali Shahidi acha kuuliza swali kabla hujajibu swali...Ni hayo tu.Nani alikwambia ni yangu?
Ha ha ha haya bhanaSiyo yangu
How? Anatutesa ki vipi ndugu? Chapa kazi ndgJakaya Kikwete hadi mungu afanye yake atawatesa watanzania sana
Ndiye anayerudisha mafisadi kwenye Nafasi zao Za kazi watanzania wakijua ni Maza anapanga kazi kwa kujibu wa katiba. Sasa umeelewaHo
How? Anatutesa ki vipi ndugu? Chapa kazi ndg
Eti anamponda Baba kisha anamfagilia Mwana !! Duh !! Inji hii alisemaga Mrema Lyatonga Wapo watu wanaishi kama wapo Peponi na wapo wengine wanaishi kama wapo Motoni !!! Tusubiri tuone what is coming next kama tutajaaliwa uhai !! Anatuandaa kisaikolojia !! Au vipi ??"Mtoa posti unaanza kuuaminisha umma mapema asubuhi kabisa ukiwa na maana unatuandaa tusije kushangaa hongera zako umeshaeleweka"
Duh!!Jakaya Kikwete hadi mungu afanye yake atawatesa watanzania sana