Rutorial k
JF-Expert Member
- Jun 8, 2014
- 960
- 855
Ni muda mrefu nafatilia kesi ya m ama ambae anaumwa tangia mwaka 2012.ajabu nikwamba jarada halionekani,nilienda mahakama ya wilaya ambapo kesi hiyo ilihukumiwa wkadai file liliitwa mahakama kuu hata hvyo nilipoenda high ccourt wakadai hawaijui hiyo kesi.naomba-ushauri