Shida na raha
JF-Expert Member
- Aug 8, 2014
- 3,773
- 3,471
Jamaa mmoja alikuwa anapita karibu na bank ghafla akajikuta ameanguka waliokuwa karibu nae wakaanza kupiga kelele jamani jamani leteni maji huyu mtu kazidiwa.
Jamaa kusikia vile akanyanyuka kwa kishindo na taharuki, akaanza kuwajibu "ebo nimwagiwe maji kwani nimeanguka karibu na bomba! Nipewe pesa niondoke".
Jamaa kusikia vile akanyanyuka kwa kishindo na taharuki, akaanza kuwajibu "ebo nimwagiwe maji kwani nimeanguka karibu na bomba! Nipewe pesa niondoke".