Jamaa ajizolea umaarufu mitandaoni kwa kuamua kukisubiria kimbunga Milton katika boti yake huko Florida USA

Hatima yake ilikuaje? Tupe feedback
 
Hivi kwa wenzetu mtu kuchoronga mwili ni jambo la kawaida eeh! Maana naona wengi sana wamejichorachora wakati kwetu huku hiyo ni dalili mbaya na uhuni
Huku hupati kazi Govt....au vyombo ulinzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…