Jamaa akamatwa kwa kufanya ngono na kichaa

Jamaa akamatwa kwa kufanya ngono na kichaa

princemikazo

JF-Expert Member
Joined
Jan 10, 2019
Posts
2,195
Reaction score
2,056
Pichani ni chalii mwenye miaka29 amenyakwa na polisi nchini Zambia kwa kumnyandua mdada ambae ni mgonjwa wa akili.

Kwa mujibu wa shuhuda ambae ni jirani wa hiyo njemba amesema sio mala ya kwanza ni kawaida yake iyo njemba kila siku usiku huwa inaenda kumdownload manzi huyo ambae dishi lake lishayumba kitambo tangu enzi Wema sepedele miss Tz,Njemba hiyo huzama nae ndichi na kumfekeche kisha asubuhi sana humtoa nje kimachale ili raia wasimuone na kushtukia ofa yake iyo ..

fumaniz.jpg



@ChaliiYaKijengeJuu.
 
Pichani ni chalii mwenye miaka29 amenyakwa na polisi nchini Zambia kwa kumnyandua mdada ambae ni mgonjwa wa akili.

Kwa mujibu wa shuhuda ambae ni jirani wa hiyo njemba amesema sio mala kwanza ni kawaida yake iyo njemba kila siku usiku huwa inaenda kumdownload manzi huyo ambae dishi lake lishayumba kitambo tangu enzi Wema sepedele miss Tz,Njemba hiyo huzama nae ndichi na kumfekeche kisha asubuhi sana humtoa nje kimachale ili raia wasimuone na kushtukia ofa yake iyo ..


@ChaliiYaKijengeJuu.
Mbona mwenyewe yuko happy tuu? Kama Walifanya patano hakuna shida

Jr[emoji769]
 
Kama umesoma Sheria mkuu kasome Article 130,sub article2 paragraph C,,Imeelezea Kufanya mapenzi na mtu ambae hayuko sawa kiakili au umemnywesha pombe au madawa adhabu yake ni prison for life au 30years..
Nadhani hii sheria ni kwa mtu ambaye atakuwa anamchukua kwenda kumfaidi akiwa kapewa midawa ile ya usingizi. Je, akiwa ni mke wa mtu ameharibikiwa huku tiyari ni wanandoa?? Mbona tunao huku kitaa wanawake wanaozaa na waume wao wenye dish corner?
 
Back
Top Bottom