Hahaa .
Tena ona jinsi ambavyo amemsogelea huyo jamaa close yaani ana m-feel kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.Sheria gani unayoizungumzia hapo?Wewe huwezi kuwa mwanasheria hata kufanya citation hujui!
Acha kuharibu fani za watu
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hii ni sheria ya Zambia ? Au sheria za Tanzania zinavuka mipaka ?
Sent using Jamii Forums mobile app
Sawa.Sheria gani unayoizungumzia hapo?Wewe huwezi kuwa mwanasheria hata kufanya citation hujui!
Acha kuharibu fani za watu
Hiyo avatar ..ndio huwa inakupendeza ...Kuna matukio yanafanya mtu unafikiria mara mbili akili za wanaume.
Hahaa tena yuko 0distance na jamaa ..anaona wazi kabisa kuwa police wana mpango wa kumuharibia utamu wakeChizi bado anataka kupigwa dudu anashangaa mbona wameingilia mchezo wao wa baba na mama
Tunajiamini.Kuna member aliweka mada Wanasheria ni watu wanao jisikia leo nimeamini.
Minato imekuwa adimu sanaPichani ni chalii mwenye miaka29 amenyakwa na polisi nchini Zambia kwa kumnyandua mdada ambae ni mgonjwa wa akili.
Kwa mujibu wa shuhuda ambae ni jirani wa hiyo njemba amesema sio mala ya kwanza ni kawaida yake iyo njemba kila siku usiku huwa inaenda kumdownload manzi huyo ambae dishi lake lishayumba kitambo tangu enzi Wema sepedele miss Tz,Njemba hiyo huzama nae ndichi na kumfekeche kisha asubuhi sana humtoa nje kimachale ili raia wasimuone na kushtukia ofa yake iyo ..
@ChaliiYaKijengeJuu.
Genye mnazioverate tu.Hiyo avatar ..ndio huwa inakupendeza ...
BTW -- Achana na genye mkuu haha ...watu wote wenye desturi ya kupenda kuzifuga genye mwisho wao huwa ni mbaya
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna mdada hapa alileta mada yake anamtamani kichaa wa kiume, au umesahau ?Kuna matukio yanafanya mtu unafikiria mara mbili akili za wanaume.
Aisee Mshana, kuwa serious aisee!!Mbona mwenyewe yuko happy tuu? Kama Walifanya patano hakuna shida
Jr[emoji769]
Sheria zenu zinajipinga sana.Kama umesoma Sheria mkuu kasome Article 130,sub article2 paragraph C,,Imeelezea Kufanya mapenzi na mtu ambae hayuko sawa kiakili au umemnywesha pombe au madawa adhabu yake ni prison for life au 30years..
Hamna kitu kigumu kama kumuingiza kichaa chumbani na asikudhalilisheMbona mwenyewe yuko happy tuu? Kama Walifanya patano hakuna shida
Jr[emoji769]
Ila mshana kah[emoji3][emoji3][emoji16]Mbona mwenyewe yuko happy tuu? Kama Walifanya patano hakuna shida
Jr[emoji769]