Jamaa akutwa na n.domu ikiwa na mchuzi. Mkewe anataka kuondoka!

Jamaa akutwa na n.domu ikiwa na mchuzi. Mkewe anataka kuondoka!

jamaa angekomaa tu kwamba mzigo siyo wa kwake mpaka upelekwe kwa chief govt chemist kupima DNA teh teh teh
 
huyo dada najua yupo kwenye hali ngumu apunguze mawazo asije akamiscarry bure, cha kufanya amsamehe mume wangu waanze upya, na huyo mwanaume aache pombe kabisa kwani ndo chanzo cha hayo yote kutojea. Pia wasali sana na wampe Mungu maisha yao ili wafurahie ndoa yao na watoto watakaojaliwa.
 
huyo dada najua yupo kwenye hali ngumu apunguze mawazo asije akamiscarry bure, cha kufanya amsamehe mume wangu waanze upya, na huyo mwanaume aache pombe kabisa kwani ndo chanzo cha hayo yote kutojea. Pia wasali sana na wampe Mungu maisha yao ili wafurahie ndoa yao na watoto watakaojaliwa.

Mume wako? kwenye nyekundu hapo
 
Ushauri wangu kwako kiongozi, kaa na huyo binti najua distance will shape that relationship. Siyo busara kwa mwanamke kusema eti sitosamehe au siolewi ukitaka kujua ungefanyaje subiri siku yakukute. Binafsi huwa naamin sana mahusiano yenye amani hata kama itagharimu sana kuipata na ndoa za aina hii hudumu sana asikudanganye mtu.


wewe kaa na huyo mwanaume mwenzio mweleze kwa uwazi juu ya kilichotokea ili ajirekebihe pia mweleze juu ya mzigo na kazi aliyonayo hasa ya ubaba manake kuwa baba is more than having wife and kid. na maisha haya ya bongo sijui kwa stail hiyo kama atajenga. tena msemeshe kwa maneno makali siyo kwa hasira bali tumia maneno yenye kutia uchungu
 
Huyo bwana siyo mstaarabu na naona ni tabia yake. Kuna siku atapiga kavu baada ya network kukatwa na pombe na hapo either + au - kuukwaa. Ushauri wangu pima kwanza kabwa ya kumpokea na tafuta wazee 2-3 wawapatanishe ili kuepuka balaa za mambo ya ndani; na hii itasaidia huyo binti asije akajidhuru na kwenda pema/pabaya peponi. Pia huyo binti ajue ndani ya ndoa kuna mambo makubwa zaidi ya hayo.
 
Kaka huyo binti wa kichaga tena hao si ndo wanasemaga we nenda kote ila ulete hela nyumbani. Hapo anapiga mkwara tu, ukimuangushia euro kadhaa mezani anatulia tuli.
Umeona eeeh?! Yaani hapa nazikusanya kwa nguvu zote lazima kitaeleweka tu..
 
hahahaa bado masaa mangapi hiyo timing yake ikamilike,kama vipi kimbia kabisa unaweza kunibadilisha lol!
Hii haina haja ya kukimbia, mwendo mdogomdogo bila haraka yoyote ndio mpango mzima...
 
Asamehe tu hayo ni matatizo ya kiufundi

Kweli kaka, hayo hutokea na yamemkuta jamaa yangu! Leo kwako kesho kwangu. Waswahili husema, ukiona mwenzio ananyolewa wewe tia maji.
 
jamaa angekomaa tu kwamba mzigo siyo wa kwake mpaka upelekwe kwa chief govt chemist kupima DNA teh teh teh

Duh! Mazee unajua ile ni zaidi ya red handed! Yani mie nimefunuliwa jamaa kalala chakari, nakutana na abdala kichwa yupo kwenye mfuko wa mchuzi na mchuzi ndani, kaka unajua ni ngumu kuitetea? Ndo maana nimewaachia muda watafakari wote wawili kama wanahitaji kuishi kama mke na mume.
 
Mwambie asamehe kwanza ampe hongera kwakukumbuka mpira wengi tunatembelea limu!!pili ajue daladala kugongwa ni sehemu maisha yake hata liwe jipya ili mradi ni daladala litagongwa tu!!
 
Ushauri wangu kwako kiongozi, kaa na huyo binti najua distance will shape that relationship. Siyo busara kwa mwanamke kusema eti sitosamehe au siolewi ukitaka kujua ungefanyaje subiri siku yakukute. Binafsi huwa naamin sana mahusiano yenye amani hata kama itagharimu sana kuipata na ndoa za aina hii hudumu sana asikudanganye mtu.


wewe kaa na huyo mwanaume mwenzio mweleze kwa uwazi juu ya kilichotokea ili ajirekebihe pia mweleze juu ya mzigo na kazi aliyonayo hasa ya ubaba manake kuwa baba is more than having wife and kid. na maisha haya ya bongo sijui kwa stail hiyo kama atajenga. tena msemeshe kwa maneno makali siyo kwa hasira bali tumia maneno yenye kutia uchungu

Ndugu yangu, ninapoandika ujumbe huu mke wa jamaa ametia timu nyumbani kwangu, tumempatia chumba chake na atakaa mpaka atakapoamua either kurudi kwa mumewe au kwenda mahakamani kuvunja ndoa, na kiukweli nategemea hatafikia uamuzi wa kwenda mahakamani kwani hata mimi na mke wangu hatutahusika tena kwa maamuzi yake kwani ndoa ni yao wawili tu.

Naweza kusema kuwa mungu atawasaidia, mshkaji amekuwa mpole na bado anajutia alichokifanya kwani hakudhamiria kufanya hivyo, na nimemuacha kwake while mkewe keshaondoka kuja kwetu. Naamini its just a matter of time, lets put our fingers crossed!
 
Hapana mkuu, mie sio wa kihivyo ndo maana mke wangu tulikubaliana kuwasaidia na mshkaji ananijua in and out, on top of that sina mazoea na shem wangu na kumbuka ana ujauzito, nitakuwa mtu wa ajabu kuomba mchezo kwa mtu mwenye matatizo kiasi hicho.

Bondpost, hivi hadi leo hujajua kama hawa viumbe wanapokua na pregy , hiyo makitu yao ndiyo huongezeka kiwango cha ubora?
It become sweetest twicely! Inakua much warm than normal. Kama hujastukia fatilia.
 
Last edited by a moderator:
Huyo bwana siyo mstaarabu na naona ni tabia yake. Kuna siku atapiga kavu baada ya network kukatwa na pombe na hapo either + au - kuukwaa. Ushauri wangu pima kwanza kabwa ya kumpokea na tafuta wazee 2-3 wawapatanishe ili kuepuka balaa za mambo ya ndani; na hii itasaidia huyo binti asije akajidhuru na kwenda pema/pabaya peponi. Pia huyo binti ajue ndani ya ndoa kuna mambo makubwa zaidi ya hayo.

Mstari wa mwisho una maneno ya busara sana. Tnx. Wacha niwahi kidogo home leo maana nami yaweza kunikuta na shem kakimbilia kwangu akidhani mimi na mke wangu tunaishi paradiso!
 
Mwambie asamehe kwanza ampe hongera kwakukumbuka mpira wengi tunatembelea limu!!pili ajue daladala kugongwa ni sehemu maisha yake hata liwe jipya ili mradi ni daladala litagongwa tu!!

Ha ha ha ha ha ha ha haaaa! Ndugu yangu, huo mfano wa daladala yani ni bonge ya satirical language, ila wengi wao huwa hawajui hayo wanadhani uboyfriend ndio ndoa!
 
Bondpost, hivi hadi leo hujajua kama hawa viumbe wanapokua na pregy , hiyo makitu yao ndiyo huongezeka kiwango cha ubora?
It become sweetest twicely! Inakua much warm than normal. Kama hujastukia fatilia.

Kaka, hapo umetia fora du! Ha ha ha ha! Nadhani kuna ukweli kwani uzuri wake ni kwamba mke wangu akiwa mjamzito ni tofauti na wanawake wengine, yani huwa ananipenda na unakuta yeye hali udongo ila cha ajabu anapenda harufu ya kwapa langu pamoja natumia videodorant na harufu ya p.u.mb.u zangu yani ni ajabu lakini at least inanifanya niwe karibu nae kuliko kupata mke mjamzito kila akikuona anakukimbia, hakika nakuambia waweza kujikuta majaribuni kama jamaa yangu.
 
Last edited by a moderator:
Ndugu yangu, ninapoandika ujumbe huu mke wa jamaa ametia timu nyumbani kwangu, tumempatia chumba chake na atakaa mpaka atakapoamua either kurudi kwa mumewe au kwenda mahakamani kuvunja ndoa, na kiukweli nategemea hatafikia uamuzi wa kwenda mahakamani kwani hata mimi na mke wangu hatutahusika tena kwa maamuzi yake kwani ndoa ni yao wawili tu.

Naweza kusema kuwa mungu atawasaidia, mshkaji amekuwa mpole na bado anajutia alichokifanya kwani hakudhamiria kufanya hivyo, na nimemuacha kwake while mkewe keshaondoka kuja kwetu. Naamini its just a matter of time, lets put our fingers crossed!

Na wanaume mlivyo wash..enzi nyie, hapo ukute jamaa yako hajutii kuisaliti ndoa yake.......bali anajuta kwa nini amekamatwa kizembe!!!
 
Back
Top Bottom