mbwana semsimbazi
Senior Member
- Sep 5, 2013
- 196
- 202
Jamaa alikuwa kwenye daladala pembeni kuna
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
kisha halafu akamuuliza "Samahani dada
unaitwa Google?".
Dada: "hapana, kwanini umedhani naitwa
hivyo?". Jamaa: "Una kila kitu nnachokitafuta
"[emoji28][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]
dada mrembo kakaa. Kamlia timing kwa muda
kisha halafu akamuuliza "Samahani dada
unaitwa Google?".
Dada: "hapana, kwanini umedhani naitwa
hivyo?". Jamaa: "Una kila kitu nnachokitafuta
"[emoji28][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]