Naona Harmo rapa kashapata kiki ya kutosha sasa kaenda kumchukua na mshkaji wake wa mtaani wamepangana watengeneze kiki nyingine wote wawe masuperstar. Haya hongera zao!
Maana Harmorapa umefosi mpaka tumekujua sasa ngja tuone umaarufu wako unautumia vp.
Kuwwekeza kwenye mapenzi hakuna garantii sana,na huwa hawatabiliki km ilivo upepo hata ungejenga ghorofa siku ikifika sawa na jani arirudi juu mtini,Fanya km ulisaidia tu ndugu yako.