Jamaa aliyeongea kichaga na kuimba kiarabu siku ya KTMA anaitwa nani?

hooligan01

JF-Expert Member
Joined
Nov 21, 2013
Posts
664
Reaction score
539
kuna yule jamaa alipanda kuperform kwenye KTMA jumamosi alikuwa akiongea kichaga mara akaimba kiarabu nlimkubali sana sema simjui jina mana ata mpoki alimtambulisha ka mtu mwenye vipaji vingi tu. bas kwa yeyote anayemfahamu uyu jamaa naomba anijuze basi
 
Jamaa ni mkali saana aisee. Hata mimi alinikosha mnoo
 
Mi alinifurahisha alivyouimba kwa umahili ule wimbo wa kiarabu..
 
tuzo zilikuwa zimepwaya baada ya kupanda alinifurahsha sana
 
Last edited by a moderator:
...mara akaingia urasaa na gari landrover unaambiwa ni atomatic vitasa hadi taa...tulikunywa tulikunywaa....rafael akamrukia teke pale...mara polisi wakaja,nikawambia naomba basi mumuachie rafael nyumbani akalaleeee.......
 
Ndo mmiliki wa kipindi cha pikaboom kinachorushwa na startv

Na kuna zile katuni za TBC za jumamosi na jumapili. Yule twiga anayeongea ni yeye saganda. Jamaa habahatishi sanaa kaisomea bagamoyo na mlimani kwa kifupi jamaa ni msanii msomi. Ile nyimbo raphael aliyoimba kichaga ya suku nyingi kidogo ndiyo illiyofungua milango kwa wasanii wa kibongo kina mkoloni na mr ebo kuiga kuimba kilugha.jamaa msanii
 
FRED SAGANDA mzee wa masawe alikuwo,chua alikuwepo,shirima alikuwepo endelea kutaja wachaga wengine.........
Sijawahi kusikia wimbo mwingine aliyotoa zaidi ya huo

FSent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
Ni zaidi ya msanii...ukiisikiliza AntiVirus volume 1 utapata radha zake...ndio anaepiga ile clouuuuuus redio ya wafuuuuuu eheee...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…