hooligan01
JF-Expert Member
- Nov 21, 2013
- 664
- 539
- Thread starter
- #21
Ndo mmiliki wa kipindi cha pikaboom kinachorushwa na startv
aaaah ka mshikaj ndo yule wa pikabomu bas anatisha af nilihisi kitu ka hicho
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndo mmiliki wa kipindi cha pikaboom kinachorushwa na startv
Kuna Katuni zingine za wanyama nzuri kwa watoto zinaitwa Tingatinga ameshiriki piaNa kuna zile katuni za TBC za jumamosi na jumapili. Yule twiga anayeongea ni yeye saganda. Jamaa habahatishi sanaa kaisomea bagamoyo na mlimani kwa kifupi jamaa ni msanii msomi. Ile nyimbo raphael aliyoimba kichaga ya suku nyingi kidogo ndiyo illiyofungua milango kwa wasanii wa kibongo kina mkoloni na mr ebo kuiga kuimba kilugha.jamaa msanii
ingawa baadae alikiri kuwa si kiarabu ni magumashi na changa la macho!
Lol! Hapo alinichekesha sana maana tusioijua hiyo lugha tulikua tunaona kama yupo ktk mstari, ila ilionekana ni magumashi kweli maana hata alipopokea hela akasema asante bomu likapigwa puuu!, al shababy puuu, boko halam puuu, Osama bin laden puuu!..,
Lol! Hapo alinichekesha sana maana tusioijua hiyo lugha tulikua tunaona kama yupo ktk mstari, ila ilionekana ni magumashi kweli maana hata alipopokea hela akasema asante bomu likapigwa puuu!, al shababy puuu, boko halam puuu, Osama bin laden puuu!..,
Fred Saganda ni noma sana. Akaanza kuwashika shika mpaka ktk sehemu nyeti, mara wakatokea wanaume zao wakaanza kumrushia maneno 'kinabo wewe' lol jamaa. Nilikua sijajua kua ndiye yeye ktk pika bomu ingawa wimbo ule wa hakuna kitu kama mbege, nilihisi ni yeye. Sikujua kwa kweli kama jamaa anavipaji vingi hivi.