binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Mbona mnamtambulisha as if sote tunamfahamu? Ni nani yeye hata aanzishiwe uzi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha ubishi kama sio muangalia porn Mia khalifa hauwezi mjuaNi Wiz Khalifa sio Mia Khalifa. au ni watu wawili tofauti?
He is the dude who want to fvck 1/4 of the world womenWho is this dude
Aya
Hivi ndio kusemaje we guruguja? Tafsiri kiuhalisia,wengine hatujafika huko lugha za kushikana makalio
Umenena mkuu. Najuta kufungua huu uzi. Maana kila kitu kwangu ni kigeni. Naweza hata kutukana. Maana natoka kapa
Hahaha eti guruguja....ndo tuseme mpwa hujawah kugurugujwa ?Hivi ndio kusemaje we guruguja? Tafsiri kiuhalisia,wengine hatujafika huko lugha za kushikana makalio
Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sanaUmenena mkuu. Najuta kufungua huu uzi. Maana kila kitu kwangu ni kigeni. Naweza hata kutukana. Maana natoka kapa
Sent using Jamii Forums mobile app
Bora usimfahamu hivyohivyo ukitaka kumfahamu tu jua unaenda kutenda dhambiNilichogundua ni mimi tu simfahamu huyu mtu. Poor me
Hii habari si sahihi kulingana na maudhui yanayoonekana. Katoliki ndio wanavaa rozari. Sasa huyu jamaa kuvaa shati la kichungaji haimaanishi kafuzu mara hii kusimama madhabahuni. Kama ni dhehebu lingine basi bado hajui anafanya nini. Labda tuambiwe wanafanana au yuko lokesheniImempendeza kondoo aliyepotea kurudi nyumbani kwa Baba ..
John Wolfe ameamua kuokoka na kumrudia Mungu ,anayo mengi ya kujutia lakini anaishia kusema alipotea kwa tamaa za kimwili ameamua kurudi nyumbani .
View attachment 1310939amefunua kurasa akaona hazina maana ,ngoja nirudi kwa Baba,
Jamaa ameamua kuwa mfunuaji mzuri vitabu vya kiroho,baada ya kuchoshwa na kurasa za vitabu vya kimwili.
Ameona akimtumikia shetani mwisho wake atapotea katika umauti .
Sauti ya Bwana imemuita na ameisikia Njooni kwangu ninyi nyote wenye masumbuko na kulemewa na mizigo mizito ua dhambi nami nitawapumzisha .Mathayo 11:28
John sins ..
Je unalo la kujifunza hapa.?
Wewe jamaa umenichekesha sana...mia khalifa ni porn starNi Wiz Khalifa sio Mia Khalifa. au ni watu wawili tofauti?
Kuna muda pumzi zinakata wanaamua kumrudia Bwana,aliacha baada ya siku mbili akafariki.
The most talented man on earth [emoji119][emoji119][emoji119][emoji119]
Sent using Jamii Forums mobile app