Jamaa ameamua kumtumikia Mungu ,ameachana na uchafu

Jamaa ameamua kumtumikia Mungu ,ameachana na uchafu

Watu sie jamani hizi fake ID zinatusitiri, yaani kwa jina halisi wengi wasingekbali wanajua shughuli ya huyu jamaa, kumbe watu wanafuatilia kila kitu ulimwenguni humu.
 
Imempendeza kondoo aliyepotea kurudi nyumbani kwa Baba ..

John Wolfe ameamua kuokoka na kumrudia Mungu ,anayo mengi ya kujutia lakini anaishia kusema alipotea kwa tamaa za kimwili ameamua kurudi nyumbani .
View attachment 1310939amefunua kurasa akaona hazina maana ,ngoja nirudi kwa Baba,
Jamaa ameamua kuwa mfunuaji mzuri vitabu vya kiroho,baada ya kuchoshwa na kurasa za vitabu vya kimwili.

Ameona akimtumikia shetani mwisho wake atapotea katika umauti .

Sauti ya Bwana imemuita na ameisikia Njooni kwangu ninyi nyote wenye masumbuko na kulemewa na mizigo mizito ua dhambi nami nitawapumzisha .Mathayo 11:28



John sins ..

Je unalo la kujifunza hapa.?
Hii habari si sahihi kulingana na maudhui yanayoonekana. Katoliki ndio wanavaa rozari. Sasa huyu jamaa kuvaa shati la kichungaji haimaanishi kafuzu mara hii kusimama madhabahuni. Kama ni dhehebu lingine basi bado hajui anafanya nini. Labda tuambiwe wanafanana au yuko lokesheni

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom