green rajab
JF-Expert Member
- Oct 16, 2015
- 12,387
- 39,119
Unajifanya huenda uliwahi kutandikwa unata na wenzako waka gongweMnawa- entertain sana wajeda,mnajipa hofu wanaume wazima.Siku hizi wakizingua tunawatandika sana mtaani.Hadi wamekuwa wastaarabu,fanyeni mazoezi wajeda hawana maajabu.
Naanzaje kupigwa kizembe namna hii.Unajifanya huenda uliwahi kutandikwa unata na wenzako waka gongwe
Mnawa- entertain sana wajeda,mnajipa hofu wanaume wazima.Siku hizi wakizingua tunawatandika sana mtaani.Hadi wamekuwa wastaarabu,fanyeni mazoezi wajeda hawana maajabu.
Hizo knuckles wala hazina msaada ukiwekwa kilingeni[emoji23][emoji23][emoji23],
Huyo jamaa aliye kumbatia ni ww!Wakuu habari za Leo! This is true story.
Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja baridi kwenye glossary ya jirani yetu mwingine ambaye ni Mjeda na amemfungulia glossary mke wake hapohapo maskani Kwa nje ya fensi.
Basi alipofika akamuomba yule mama amkumbatie ( watoto wa mjini wanaita kumuwao) bas mara pap wakapeana wao jamaa akiwa anaendelea kushikilia kiuono Cha yule mama, ghafla akasikia mtu anakata miti Kwa panga kuka kucheki ni mme wa yule mama na alikuwa akiwatazama wanavyopeana kumbatio.
Na mpaka Leo inaisha wiki hajamuuliza lolote jamaa, hivyo mwana anaomba nimshauri afanyaje maana kiuhalisia Hana uhusiano wowote Na yule mama ila ilitokea tu siku hiyo, Sasa hofu ya jirani yangu ni jamaa amelichukuliaje?
Na kwanini alikaa kimya hakuwasemesha?
Na anawaza nini?
Mwambie asubiri tu dawa inachemka taratibu jikoniWakuu habari za Leo! This is true story.
Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja baridi kwenye glossary ya jirani yetu mwingine ambaye ni Mjeda na amemfungulia glossary mke wake hapohapo maskani Kwa nje ya fensi.
Basi alipofika akamuomba yule mama amkumbatie ( watoto wa mjini wanaita kumuwao) bas mara pap wakapeana wao jamaa akiwa anaendelea kushikilia kiuono Cha yule mama, ghafla akasikia mtu anakata miti Kwa panga kuka kucheki ni mme wa yule mama na alikuwa akiwatazama wanavyopeana kumbatio.
Na mpaka Leo inaisha wiki hajamuuliza lolote jamaa, hivyo mwana anaomba nimshauri afanyaje maana kiuhalisia Hana uhusiano wowote Na yule mama ila ilitokea tu siku hiyo, Sasa hofu ya jirani yangu ni jamaa amelichukuliaje?
Na kwanini alikaa kimya hakuwasemesha?
Na anawaza nini?
Kweli kabisa mkuu, tuendelee kumtia moyo jamaaWatu wanaonaga wajeda ni kama untouchables hivi
Sasa yeye kama kaamua kumfungulia mke auze pombe unarikiri hajui kuwa sio kukumbatiwa tu hata kutongozwa na walevi ni jambo analijua fika
Kunyamaza kwake hapo ni kuwa wifi alijua kabisa kuwa mme wake anafyeka majani na kumbatio ni jambo dogo sana kwa muuzaji wa pombe
Mjeda mjeda
Nashauri hiyo KY akaazime kwa Polepole.Asubirie na yeye 'kuwaoiwa' na wajeda. Ila aombe waishie kumuwao tu maana wanaweza hata kumla visivyolika. Aanze kutembea na KY incase yakimkuta ya kumkuta awe tayari tayari.
Kweli kabisa mkuu, tuendelee kumtia moyo jamaa
Amemuuliza, Ila huyo Mama ameishia kumcheka tu jamaa na kumwambia wewe Mwoga sana,acha woga jamaa Wala hakumaindi kabisa,anajua mteja tu wewe.Hicho kimya cha mjeda ndio adhabu yenyewe aliyopewa....ni psychological torture...yaani mjeda kaamua kumtia jamaa wasiwasi na woga...mwambie amuulize mke wa mjeda kama yeye ameisha adhibiwa kwa kumbatio lile!?
Ndio maana nilisema kimya cha mjeda ndio adhabu yenyewe!Amemuuliza, Ila huyo Mama ameishia kumcheka tu jamaa na kumwambia wewe Mwoga sana,acha woga jamaa Wala hakumaindi kabisa,anajua mteja tu wewe.
kwa hiyo ulioa na uliwashauri wana hakuna kuoa?Nilikua nawaangalia tu, hapa bado naendelea kumkanda wife manundu niliomtoa kwa kipigo ile jumamosi. Na huyo mshkaji wako sijui niwewe subiria tu kitakacho kukuta lazima uliwe utumbo...[emoji21][emoji53]
Ukiona mke wako haumumudu kitandani hiyo huwa nimbinu ya kusogeza wasaidizi. Inakuwa biashara haina faida ila tunachofaidika nacho nizile style mpya ambazo watakuwa wanamfundisha wasaidizi wanaotakiwaNipo nje ya mada,
Hivi mwanaume kumfungulia mkeo biashara ya kuuza pombe unakuwa unafikiria Nini?
Mwambie jamaa afanye mazoezi ili siku likibuma aweze kutoa ukinzani. Asikae kizembe akiwaza waza. Piga tizi jamaa akijidai mwamba wanazipanga mambo yanaisha.Wakuu habari za Leo! This is true story.
Imetokea hivi karibuni hapa jijini Dar, Kuna jirani yangu amenisimulia nimshauri afanyaje maana, hivi karibuni akiwa anaingia kupata Moja moto moja baridi kwenye glossary ya jirani yetu mwingine ambaye ni Mjeda na amemfungulia glossary mke wake hapohapo maskani Kwa nje ya fensi.
Basi alipofika akamuomba yule mama amkumbatie ( watoto wa mjini wanaita kumuwao) basi mara pap wakapeana wao jamaa akiwa anaendelea kushikilia kiuono cha yule mama, ghafla akasikia mtu anakata miti kwa panga, kucheki ni mme wa yule mama na alikuwa akiwatazama wanavyopeana kumbatio.
Na mpaka leo inaisha wiki hajamuuliza lolote jamaa, hivyo mwana anaomba nimshauri afanyaje maana kiuhalisia hana uhusiano wowote na yule mama ila ilitokea tu siku hiyo, Sasa hofu ya jirani yangu ni jamaa amelichukuliaje?
Na kwanini alikaa kimya hakuwasemesha?
Na anawaza nini?