Wabongo huwaambii kitu kuhusu isreale , hata akijipakaa kinyeesi watasema wanadurahia uhuru wao khaKuna jamaa kaandaa chapisho humu kifua mbele.
Itikadi kali nishawaambia kati ya utapeli mkuu kuwahi kutokea dunia hii ni nyie na itikadi yenu.
Mnamchumchukia netanyahu maana amewaanyoosha kisawa sawa ndugu zenu.
Mnasahau kuwa hata great leaders wanapingwa na kwa nchi zilizowastaarabu na utu wanaruhusu wanaowapinga kutimiza matakwa yao ya kufikisha ujumbe sio nchi zenu hizo zinaruhusu kubaka watoto wa miaka 9, ebu jaribu kuiingia mtaani upinge kama kesho utaonekana.