Jamaa anajuta sana kwa hili,Wewe je unajutia nini?

Ni kuacha kama ilivyo ni mapenzi yake
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]mwache mwenzio buana...jiongeze


Sijamshika huyo jamaa, unataka nijiongeze kivipi? Mie siyo mwanamme wa Dar kutaka kujiongeza vitu visivyo na maana maishani mwangu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…