Jamaa atupwa JELA MAISHA kwa kumlawiti mtoto wa dada yake

Jamaa atupwa JELA MAISHA kwa kumlawiti mtoto wa dada yake

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha na fidia ya Tsh. Milioni 10, Ramadhan Musa Chewa (34), Mkazi wa Pawaga, Iringa kwa kosa la kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kike wa dada yake mwenye umri wa miaka 12.

Hakimu Mkazi Mkuu, Ally Said Mkasiwa amemesema mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 4, 2020 alipoenda kumsalimia dada yake, ambapo alikuwa akilala sebuleni.

Siku ya tatu baada ya kuwasili, dada yake alipotoka kwenda kuchota maji asubuhi, mtuhumiwa akaingia chumbani na kutenda kosa hilo.


Chanzo: Azam TV
 
Huwezi ukatutupia picha ya mtuhumiwa kama unayo? Coz video inakataa kuplay 🤔 na inawezekana ninamjua mtuhumiwa huyu coz majina haya sio mageni kwangu na kama sikosei huyu mtuhumiwa aliwahi kuishi iringa mjini na huko pawaga nako wananyumba, sasa ningemuona vizuri ningejua ni yeye.
 
Mtot wa dada angu ndio nimlawiti kbsa hpn kuna ushirikina hapo
 
Huwezi ukatutupia picha ya mtuhumiwa kama unayo? Coz video inakataa kuplay [emoji848] na inawezekana ninamjua mtuhumiwa huyu coz majina haya sio mageni kwangu na kama sikosei huyu mtuhumiwa aliwahi kuishi iringa mjini na huko pawaga nako wananyumba, sasa ningemuona vizuri ningejua ni yeye
Huyo hapo,ndio mwenyewe??
Screenshot_20220610-175216.jpg
 
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha na fidia ya Tsh. Milioni 10, Ramadhan Musa Chewa (34), Mkazi wa Pawaga, Iringa kwa kosa la kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kike wa dada yake mwenye umri wa miaka 12.

Hakimu Mkazi Mkuu, Ally Said Mkasiwa amemesema mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 4, 2020 alipoenda kumsalimia dada yake, ambapo alikuwa akilala sebuleni.

Siku ya tatu baada ya kuwasili, dada yake alipotoka kwenda kuchota maji asubuhi, mtuhumiwa akaingia chumbani na kutenda kosa hilo.


Chanzo: Azam TV
Yataisha lini haya?
 
Ukiwa hapo hapo Iringa. Hebu muulize huyo hakimu, anategemea huyu mfungwa atapata wapi hiyo milioni kumi?
Waiting for your answer brother.
 
Pale ilala Kuna wale vilema wakusota wanasubiri walevi mbwa walewe chakari ( wasted)
Ukiangusha TU .....wamekutafuna ndogo.
Hiiiiii😂😂😂.
 
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha na fidia ya Tsh. Milioni 10, Ramadhan Musa Chewa (34), Mkazi wa Pawaga, Iringa kwa kosa la kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kike wa dada yake mwenye umri wa miaka 12.

Hakimu Mkazi Mkuu, Ally Said Mkasiwa amemesema mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 4, 2020 alipoenda kumsalimia dada yake, ambapo alikuwa akilala sebuleni.

Siku ya tatu baada ya kuwasili, dada yake alipotoka kwenda kuchota maji asubuhi, mtuhumiwa akaingia chumbani na kutenda kosa hilo.


Chanzo: Azam TV
Kwanini haya Mambo yanatokea San siku hizi?
 
Matatizo ya akili...mmmh hapana

Ushirikina...yes
 
Mahakama ya Wilaya ya Iringa imemuhukumu kifungo cha maisha na fidia ya Tsh. Milioni 10, Ramadhan Musa Chewa (34), Mkazi wa Pawaga, Iringa kwa kosa la kumuingilia kinyume na maumbile mtoto wa kike wa dada yake mwenye umri wa miaka 12.

Hakimu Mkazi Mkuu, Ally Said Mkasiwa amemesema mtuhumiwa alitenda kosa hilo Aprili 4, 2020 alipoenda kumsalimia dada yake, ambapo alikuwa akilala sebuleni.

Siku ya tatu baada ya kuwasili, dada yake alipotoka kwenda kuchota maji asubuhi, mtuhumiwa akaingia chumbani na kutenda kosa hilo.


Chanzo: Azam TV
Huyu mbwa alistahili adhabu ya kifiro cha foleni,malaya wamejaa anaenda kumtendea mtoto ushetani huo...
 
Back
Top Bottom