usiniletee siasa zako za maji taka weye.......umbea tu baba zima tutakuvisha shanga muone kwanza:hatari:
Kuna jamaa yangu mtanzania amebahatika kupata mtoto wa kiume na mwanamke wa kisomali. Mtoto ni mzuri kwa kweli na anavutia, lakini kila nikimshika sijui kwa nini mawazo hayanitoki kufikiria ya kwamba nimembeba gaidi/ pirate wa kisomali. Si unajua tena mtoto wa nyoka ni nyoka.
Jamani hivi nifanyaje kuondokana na mawazo haya machafu? kwani kila msomali unayemjua ana tabia mbaya kama inavyotangazwa na vyombo vya habari?
Asanteni
am saying this pliz u guys especially payuka stop talking bad about somalis
Acha kushadidia vitu usivyovijua, read btn lines utaelewa nilikuwa namaanisha nini? ninyi ndo mnosema chadema wanawatakukana ...mkiulizwa matusi hamna cha kujibu!
usiniletee siasa zako za maji taka weye.......umbea tu baba zima tutakuvisha shanga muone kwanza:hatari:
thanks salma! what's an eye opener!!!!! I thought every somali is a pirate, but since you hv clearly elaborated I think I need 2 change my habit!
Once again apologies for mis-conception!
Umeona eeeh! sasa leo kakutana na Payuka! kama kazoea kuwa offend wengine leo mi ninamsababishia psychological torture tu bila kupigwa ban na moderators!!!
hahahahaha kweli we payuka,inaonekana unapayuka chini na juu:lol:Si lazima uchangie kila thread we ****ya! Hapo ndo mnapokosea watoto wa uswazi. Kuhusu shanga kumbe unajua ni watu wa namna gani huwa wanazivaa? umenifurahisha kweli kumbe mwenzetu unashanga??? ni ngapi hizo embu baeleze banaume ya JF wa-hack computer yako kujua identity then kesho tu wakuchomoe uliko uliwe mzigo!!!
U guys le mi tel u one thing not every somali u c is pirate.even me is somali nd am married 2 tanzanian nd i got babie girl wid him.inamaana even ma babie girl is pirate.u guys let respect each other dont tok shit abt somalis
usiniletee siasa zako za maji taka weye.......umbea tu baba zima tutakuvisha shanga muone kwanza:hatari:
bwah ha ha ha ha !! Makubwaa, sasa kwa nn umvishe shanga mwenzako?
Wivu tu unamsumbua, Wanawake wa Kisomali ni wazuri sana. Hata mimi ni Mtanzania napenda nipate Mwanamke wa Kisomali. Mtu mzima hawezi akazungumza maneno ya udhalilishaji kama hayo. Ni ujinga mtupu. Shame upon you