mkuu mwembamba ukimkamata unaamshika pote,mnene lol unaweza kukamata mtu kiuno humalizi inaboa bhana au unakuta kamaliza kitanda kama umelala na faruktk hili tuko pamoja mkuu,mimi sipendi wanawake wanene kabisa,napenda vimbayuwayu ambavyo vikiwekwa kwenye upepo mkali unaweza kusema vitabebwa.
siku hizi page za fb,instagram hata twitter kama mtu star kuna (tick)inawekwa pale karibu na jina kwamba ndo mtu halisi,so anafahamika kwamba ni msanii husika,vizuri kama mkafanya process za kuongea na majamaa wa mitandao.......(ushauri tu)Hakuna mtu anachunga status yake kama Diamond.
account ya Diamond insta cho hiyo.
ya diamond chin imeandikwa president..hiyo n account fake msipotoshe watu
we mnene au mwembamba?
Mama watoto penny ni modo au bonge jaman?
Uyu alikua anamzunguzia kimwana wake heaven on desert
Hakuna mtu anachunga status yake kama Diamond.
account ya Diamond insta cho hiyo.
ya diamond chin imeandikwa president..hiyo n account fake msipotoshe watu
heri uwe mnene basi maana kwa maangamizi utaua,..by platnam
lol kuja mwembamba uvunjwe nyonga
madharau hayo na si-mention sitaki ngumi.
halafu vyembamba vitamu vinaloaga fasta
nisaidie kufahamu kimeandikwa nini hapo...?
Nafikiri huyo mwanamke mnene ni heaven on desert