Jamaa kakopa sumu kaenda kujiua, nikawadai ndugu zake?

Jamaa kakopa sumu kaenda kujiua, nikawadai ndugu zake?

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] watu[emoji119][emoji119]


Mkuu nakuja Mbingu nile ndizi nipo Luipa hapa.
 
Kwanza huyu jamaa ni wa kukamatwa kwa kosa la kuuza sumu bila kibali na kusababisha maafa, polisi tekeleza wajibu wako.
 
Nina kiduka changu maeneo ya Mbingu huku Morogoro Vijijini

Kuna jamaa jana kaja kakopa sumu ya panya nikampa akiahhidi kuwa angelipa asubuhi, kumbe kaenda kujiua, sasa nawaza ndugu zake wanilipe kwa kuwa ndio faida yenyewe aisee

Kwa huku Nilipo mara nyingi mzigo naufuata Ifakara sasa nawaza kama nitaachia haka kafaida kwa maana safari yangu ya hadi Ifakara kufuata mzigo ilikuwa kazi bure

Ushauri wadau
Jamaa wewe pimbi sana hahahaha unatuuzia chai
 
Nina kiduka changu maeneo ya Mbingu huku Morogoro Vijijini

Kuna jamaa jana kaja kakopa sumu ya panya nikampa akiahhidi kuwa angelipa asubuhi, kumbe kaenda kujiua, sasa nawaza ndugu zake wanilipe kwa kuwa ndio faida yenyewe aisee

Kwa huku Nilipo mara nyingi mzigo naufuata Ifakara sasa nawaza kama nitaachia haka kafaida kwa maana safari yangu ya hadi Ifakara kufuata mzigo ilikuwa kazi bure

Ushauri wadau
Una kibali cha kuiza hiyo dawa kutoka Wizara husika tuanzie hapo, kama Huna tulia
 
Yani watu tunahangaikia mbingu kumbe ipo hapo Morogoro tu aisee
 
aisee umeua bila kukusidia utashtakiwa, alafu mkiwaga ifakara hamuijuag segerea mnaisikia tu kwene tv si ndio ? haya endelea mkuu
 
Back
Top Bottom