Jamaa kaliwa Tshs. 3,000,000 kwenye kamari, yupo hoi kitandani

Jamaa kaliwa Tshs. 3,000,000 kwenye kamari, yupo hoi kitandani

Dah namhurumia lakini ndo situation yenyewe hiyo sometime ukigein unafurahi the same applied
 
Dah namhurumia lakini ndo situation yenyewe hiyo sometime ukigein unafurahi the same applied
Principles of betting should be considered...unfortunetely some people use to ignore them.
 
Muhindi siyo mtu mzuri. Alikula mpaka 50 mil ya anko Magu aliyowabetia Taifa stars kwa walesotho.
Duuuh😂😂😂so jamaa walichana mkeka wa "mzee baba"
 
Back
Top Bottom