Mbundenali
Member
- Jan 9, 2012
- 64
- 37
Habari zenu wakubwa.
Kuna jamaa yangu amekuwa akiishi na binti mwanafunzi wa kidato cha kwanza tangu mwaka jana agost
sasa baada ya wazazi wake kugundua kuwa hajatulia,wakamwambia kuwa hawana mpango tena wa kumsomesha,akipata mume aolewe.
Jamaa hakufanya kosa,kweli kamuweka ndani binti. Na sasa ana mimba ya miezi minne.
Tatizo lililopo huyu jamaa aliyempa mimba ni mwalimu wake huyu binti na hadi sasa wazazi wa binti hawamfahamu jamaa. Kujitambulisha jamaa anaogopa kesi kwa kuwa yeye ni mwalimu.
Kwa kuwa kujitambulisha ni muhimu, je jamaa ataanzaje?
Naombeni ushauri wenu ili nami nimshauri jamaa
Kuna jamaa yangu amekuwa akiishi na binti mwanafunzi wa kidato cha kwanza tangu mwaka jana agost
sasa baada ya wazazi wake kugundua kuwa hajatulia,wakamwambia kuwa hawana mpango tena wa kumsomesha,akipata mume aolewe.
Jamaa hakufanya kosa,kweli kamuweka ndani binti. Na sasa ana mimba ya miezi minne.
Tatizo lililopo huyu jamaa aliyempa mimba ni mwalimu wake huyu binti na hadi sasa wazazi wa binti hawamfahamu jamaa. Kujitambulisha jamaa anaogopa kesi kwa kuwa yeye ni mwalimu.
Kwa kuwa kujitambulisha ni muhimu, je jamaa ataanzaje?
Naombeni ushauri wenu ili nami nimshauri jamaa