Jamaa kapewa namba yangu na demu huko njiani kaanza kunitongoza

Jamaa kapewa namba yangu na demu huko njiani kaanza kunitongoza

1. Umesema jamaa ALISHACHUKUA CHUMBA.

2. Ukaingia NEARBY FRIEND ukagundua yupo mita chache.

3. Ukasema tena ulikutana nae mkawa mmekaa NJE ya guest mnachati.

4. Ukasema tena baada ya kugundua ni ww AKAKIMBIA NJE kama miale ya mwanga.


MASWALI FIKIRISHI:

1. Kwann achukue chumba WAKATI HATA KUKUTONGOZA VIZURI ALIKUW BADO..??

2. Kwanini wewe uingie NEARBY FRIEND wakati unasema hata humjui?? How dis you know that yupo those few meters from you??

3. Hiyo COINCIDENCE ni ya ajabu kiasi gani, anapewa namba na mtu baki, halafu aje mpaka mtaani kwenu??

4. Ulijuaje kama KAPEWA NAMBA YA UONGO NA MWANAMKE?? Au ulipokuw unachati nae ukamuuliza namba yngu umepewa na nani, na yeye akakujibu amepewa na mwanamke?? Inawezekana vipi hyo wkt yeye alijua anachati na mhusika?

5. Una uhakika gani kwamba huyo jamaa HAKUTAKA NAMBA YA SHOGA KUTOKA KWA HUYO BINTI, ndo akapewa namba yako ndio maana akaja mpaka mita chache tu mtaani kwenu..??

6. Kwanini useme MMEKAA NJE YA GUEST MNACHATI wakati huyo bwana ako alishachukua chumba (that means yupo chumban)

7. Kwanini useme AKAKIMBIA NJE kama miale ya mwanga, wakati mwanzo umesema MLIKUW MMEKAA NJE...??? Inawezekanaje mtu umekaa nje, halafu ukimbie nje, wakati siku zote anayekimbilia nje, maana yake katokea ndani.

8. Ulishangaa nini jamaa kupewa NAMBA FEKI..?? Cha ajabu nini?? Hujui sisi wanaume ni kama tupo mbugani tunawinda?? Swala akikatiza tunamla fasta, na wengine wanatukimbia (ndio kama hao wanaotoa namba za magar, kila tukipiga hazipatikan). Ila hata wao wakisepa HATUACHI KUWINDA.


9. Kwann uendelww kuchati na mtu UNAYEJUA KABISA ANAHISI WEWE NI MWANAMKE..??? Tena mpk anakuita guest na wewe unaenda..!!! Unajitetea vipi hapo kama wewe ni rijali..??


UGUNDUZI WANGU:

1. Narudia tena kusema WEWE NI SHOGA na jamaa amekula tako.

2. Nimegundua jamaa kakuita mpaka guest, ukaingia akala mzigo, hakukulipa ndio AKAKIMBILIA NJE FASTAA.

3. Jamaa HAKUKOSEA NAMBA, ila alitaka namba ya shoga kwa mtu, ndo AKAPEWA YA KWAKO.


USHAURI:

1. Acha kabisa kutudhalilisha wanaume na jinsia ya kiume kwa ujumla.

2. Acha kujiita MZANAKI. Ninachoamini mimi Wazanaki (wanatoka Mara nadhani) wanajinasibu kama watu strong ndio maana wenzako wapo jeshini. UNLESS useme unajiita Mzanaki KWA SABABU ULISOMA ZANAKI GIRLS SECONDARY .








Sent from my D5322 using JamiiForums mobile app
Aiseeee...

Akikujibu nsitue

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom