Jamaa kashindwa kugoma hapa

Shida na raha

JF-Expert Member
Joined
Aug 8, 2014
Posts
3,773
Reaction score
3,471
Eeee !!! mwanangu weee !!! Sijui umeipata hii!!! Kuna kijana mmoja wa chama cha wananchi CUF alimchukua dem geto, Basi dem akaanza kuvua baibui ndan ana kanzu ya CCM akaendelea kuvua kanzu chup na sigiria zote zilikua za CCM. basi jamaa baada ya kula uroda akamuuliza dem : Kwa nini umevaa nguo za CCM ? Dem akamjib: NILIFIKIRI UTAISUSIA KAMA MULIVYO USUSIA UCHANGUZ WA MAREJEO !!!Jamaa kabaki mdomo wazi!!! Hivi unafikir tunaweza kweli kususa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…