Hiyo hali utokea endapo kuna mazingira yasiyo rafiki kwako,
Inawezekana choo hakina mlango mmeweka pazia - ivyo unaogopa na Sio uvivu huo.
Pili, choo kina mlango lakini kilivyo kaa watu wanaweza jua unacho kifanya umo ndani, hasa ivi vyoo vya masinki uki_nya sauti ya gogo inasikika au wakati wa kuflash unasikika
Tatu na mbaya zaid pengine korido ya kuelekea choo kilipo huwa kuna wamama au wadada hapo hukaaga sana au kufanya shughuli zao ivyo waogopa..
Ku_nya ndio raha pekee inakuwaje wewe uone uvivu???!!! ____huo ni uoga