Jamaa uliyenipiga na Chupa ya sere nikiwa natembea service road huku ukiwa kwenye pikipiki Kusudio lako lilikua nini? Ulitaka kuniua nimekukosea nini?

Unazurura hovyo ndio maana unabutuliwa..tafuta kazi za kufanya
 
Unakuta bangi na viroba vishaoanda kichwani, basi-‘anaamua tu kufanya mischieve..
 

Msile wake za watu
 
4. Nilikuwa napita service Road wao walikuwa Barabara kuuu
1. Sijawahi kutoka na mke wa mtu wala demu wa mtu mkuu
3.sinywi pombe mkuu
5. Sijawahi kutapeli mtu mkuu yaani kifupi simjui jamaa
Pole sana mkuu,
Inawezekana labda hakuwa na nia ya kukupiga labda aliamua kuitupa halafu bahati mbaya ikakupiga wewe.
Msamehe bure labda hakukusudia chamsingi bado upo mzima endelea na mengine
 
We dada unapenda kulialia sasa kachupa tu unalalamika hadi huku sasa siku unatolewa ubikra maumivu yake siulitangaza darasa zima.
 
Umeharibu tu hapo ulipoandika mngese.

Otherwise ulichokiandika kingemchapa yule jamaa in no time.
 
4. Nilikuwa napita service Road wao walikuwa Barabara kuuu
1. Sijawahi kutoka na mke wa mtu wala demu wa mtu mkuu
3.sinywi pombe mkuu
5. Sijawahi kutapeli mtu mkuu yaani kifupi simjui jamaa
Inaonekana jamaa aliyekupiga chupa hapendezewi na utaratibu wako wa maisha,maana uko clean sana,sasa anataka na wwe unywe pombe kama yeye na ndiyo maana kakupiga na chupa ya bia!!
 
Pole mkuu, ni kweli sometimes huna hili wala lile jambo linakuzukia tu. Juzi alhamisi nilikuwa natembea sehemu yenye msongamano wa watu na mbele yangu kulikuwa na baba mtu mzima kiasi aisee kuna chizi sijui hata alikotokea alimpiga yule mzee na jiwe kubwa kichwani akaanguka chini damu zinamwagika halafu yule chizi akaanza kutimua mbio. Baadhi ya raia tukaanza kumsaidia yule mzee kumkimbiza hospital kumbe huku nyuma kuna raia walinyooka na yule chizi alipewa kichapo mpaka akazirai. Cha ajabu hakuna mtu wa maeneo yale anaemfahamu huyo chizi, ilikua ajabu kweli
 
Ubaya huwezi jua kama umemkosea mtu
 
Huyo jamaa kwa akili zake hizo hawezi kumiliki smart phone tumekuelew pole
 
Nunua gari kijana, hizo shurba zote utaziepuka.

Huenda huyo katumwa kukumbusha upambane uwe na walau kiberiti chako, la sivyo utapigwa kichwa kweli.
 
vijana wakishalewa wanajikutaga hawaelew yaan kama wasengerema hvi mi kuna sku kitambo mtu kalewa zake m natembea kanipga ngumi dah
 
Lilikuwa levi tu lilivimbiwa na pombe na yapo mengi ya design hiyo.
 
Baba pole sana! Katika maisha yako hujawai ng'ata mke wa mtu, milima haikutani ila watu wanakutana.
 
Pole sana. Dunia hii imejaa binadamu wasiothamini uhai wa wenzao. Umenikumbusha ya Sativa na jinsi walivyotaka kumuua kwa jambo la kijinga sana. Yaliwahi kunikuta hata mimi. Nlikuwa natembea sehemu yenye ka-giza jioni, nikapita kikundi cha jamaa wamesimama wanazungumza. Kwenda mbele hatua chache nilipigwa jiwe la begani (nadhani walilenga kichwa likanikosa).
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…