Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bangi ya wapi umevuta? Au ndo ukichaa umekuakaribiaMushezi sana ww.
Nishakwambia sitakutoa tena out kula lager
Utajua urefu ya kamba yangu ww, umeniaga unayenda kulala umekuja kanibanika hapa.
Ni baeleze batanzanie, hyu amezoea za bure. Namuambia, se no lager se no kumleta DAYANA kucheza na playstaion5 ya mwanangu. Yooooko kavisa
Kama wewe ambavyo umeshindwa kuacha kupostKwa hiyo wewe muombwa ushauri imeshindwa kukaa na siri ya jamaa yako?
NI KITU AMBACHO HAKIWEZEKANI UMETUNGAMambo vipi Wana jamii....?
Ebana katika jamii tuliyopo kuna mambo huwa yanaumiza sana.
Iko hivi
Jana tareh 28/01/2025 mida ya saa mbili usiku mshkaji wangu Mmoja tuliyekutana kwenye harakati za hapa na pale alinicheki tukapata japo Moja baridi Moja moto namaanisha ule mlima mrefu kuliko yote afrika (Kilimanjaro lager)
Basi tukapata vizuri mida ya saa tano sita usiku nikamwaga mshkaji kwamba nikapumzike maana kesho yake ambayo ndo leo tare 29 harakati inabidi ziendelee
Pasina hiyana tukaagana fresh ila mshkaji wangu huyu yeye akahama venue ili aendelee kupata burudani mida ya saa tisa usiku ikabidi aongee na muhudumu wa baa afanye mpango japo apate mlimbwende Mmoja ivi wa kuendelea kumliwaza mpaka asbh itakapo fika ebana muhudu kweli kachukua simu akampigia mlimbwende atokee maeneo maana kuna boss anataka kampani pesa ipo
Dada bila hiyana huyu hapa kafika maeneo baaaana weee
Kumbe mlimbwende ni mke wa jamaa aisee
Asbh jamaa ananipa story hii sikujui nimshauri nini maana Malaya kakutana na Malaya mwenzie
Isiyo na sukari na wala haijachemka vizuri.Chai
Siku yakikukuta ndo utaelewaNI KITU AMBACHO HAKIWEZEKANI UMETUNGA
💥🤣🤣🤣🤣🤣🤣💥Bangi ya wapi umevuta? Au ndo ukichaa umekuakaribia
ChaiMambo vipi Wana jamii....?
Ebana katika jamii tuliyopo kuna mambo huwa yanaumiza sana.
Iko hivi
Jana tareh 28/01/2025 mida ya saa mbili usiku mshkaji wangu Mmoja tuliyekutana kwenye harakati za hapa na pale alinicheki tukapata japo Moja baridi Moja moto namaanisha ule mlima mrefu kuliko yote afrika (Kilimanjaro lager)
Basi tukapata vizuri mida ya saa tano sita usiku nikamwaga mshkaji kwamba nikapumzike maana kesho yake ambayo ndo leo tare 29 harakati inabidi ziendelee
Pasina hiyana tukaagana fresh ila mshkaji wangu huyu yeye akahama venue ili aendelee kupata burudani mida ya saa tisa usiku ikabidi aongee na muhudumu wa baa afanye mpango japo apate mlimbwende Mmoja ivi wa kuendelea kumliwaza mpaka asbh itakapo fika ebana muhudu kweli kachukua simu akampigia mlimbwende atokee maeneo maana kuna boss anataka kampani pesa ipo
Dada bila hiyana huyu hapa kafika maeneo baaaana weee
Kumbe mlimbwende ni mke wa jamaa aisee
Asbh jamaa ananipa story hii sikujui nimshauri nini maana Malaya kakutana na Malaya mwenzie
Ngoja yakukute ndo utajuaChai