Jamaa yangu alimtafuta mrembo wa kula naye bata bila kujua aliyekuja alikuwa ni mkewe!

Kwa hiyo wewe muombwa ushauri imeshindwa kukaa na siri ya jamaa yako?
 
Bangi ya wapi umevuta? Au ndo ukichaa umekuakaribia
 
NI KITU AMBACHO HAKIWEZEKANI UMETUNGA
 
Hii inawezekana kabisa kwa maana wote hao ni vipanga na hakuna cha kushauri apo....
 
Chai
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…