Kwa usawa wa magu aisee inakuwa changamoto asieridhika adokoee tuu[emoji2][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Pika msosi wa kutosha.. Pika nyama za kutosha
Alafu sauti ya mfuniko wa sufuria inaenda mbali kuliko sauti ya kengele 😄😄Usiombe ufumaniwe alafu nyama IPO mdomoni..
Dawa gani hiyo mkuu?Hako ni katabia kabaya sana,huyo jamaa yako alikuwa nako tangia akiwa mdogo,wazazi wake au walezi wake hawakukazuia mapema sasa kanamtesa ukubwani.Kama vipi amtafutie dawa miti shamba anapona bila shida yoyote ,hako katabia sio kazuri kwa mtu mzima tena mwanaume mwenye familia.
Alafu ya moto motoUsiombe ufumaniwe alafu nyama IPO mdomoni..
Alafu sauti ya mfuniko wa sufuria inaenda mbali kuliko sauti ya kengele [emoji1][emoji1]
Mganga tena?!.[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]Hako ni katabia kabaya sana,huyo jamaa yako alikuwa nako tangia akiwa mdogo,wazazi wake au walezi wake hawakukazuia mapema sasa kanamtesa ukubwani.Kama vipi amtafutie dawa miti shamba anapona bila shida yoyote ,hako katabia sio kazuri kwa mtu mzima tena mwanaume mwenye familia.