Jamaa yangu na mkewe wamejikuta kwenye group moja la kutafuta Wachumba huko FaceBook

Jamaa yangu na mkewe wamejikuta kwenye group moja la kutafuta Wachumba huko FaceBook

Itakua alijiunga kabla ya ndoa akasahau ku left baada ya kuolewa.
 
Mbona nipo kwenye group la wagogo na Mimi sio mgogonna sina hata rafiki mgogo
Kuna link zinakuja unaamua Tu kujoin kuona mambo mapya
 
Inshu mbona ndogo sana iyo, uyo bidada aliingia si kama mumewe kufresh akili tu mbona hakuna tatizo kabisa
 
binadamu tumekuwa wabinafsi sana, yaan yeye awe huru kuangaza macho, mwenzake asiwe na uhuru huo, si sawaaaaa

hv ephen_ upo kwel?
 
Ni matumaini yangu kila mmoja wetu ni mzima wa afya.

Kuna issue moja jamaa yangu kanisimulia na kuniomba ushauri nikashindwa hata pa kuanzia kumshauri asee.

Jamaa na mkew wako kwenye ndoa huu ni mwaka wa 5 wanaishi pamoja na wamejaaliwa kuwa na watoto wawili.

Jamaa anasema juzi jumapili wakt anaangalia angalia mtandaoni akaingia FaceBook akukutana na group moja linaitwa wanaotafuta wachumba, jamaa anasema yeye akaona aingie kuangaza macho, ila cha ajabu akakuta mkewe nae ni member wa hilo group.

Jamaa ni kama hajaelewa lengo la mkewe huyo kuwa kwenye group kama hilo wakt ni mke wa mtu.

Anaomba ushauri, achukue hatua gani?
Ukitaka kuteseka basi wewe chukulia ndoa kama kitu serious sana utakufa kabla ya siku zako.

Acha upelelezi kwenye mitandao, fanya yako sepa.

Mimi nipo kwenye magroup ya wazungu Divorced group na singles vilevile, sasa atakayejifanya yeye ni mpelelezi wa maisha yangu hizo ni shida zako mimi mwenyewe ndio najuwa kwa nini nipo humo
 
Ni matumaini yangu kila mmoja wetu ni mzima wa afya.

Kuna issue moja jamaa yangu kanisimulia na kuniomba ushauri nikashindwa hata pa kuanzia kumshauri asee.

Jamaa na mkew wako kwenye ndoa huu ni mwaka wa 5 wanaishi pamoja na wamejaaliwa kuwa na watoto wawili.

Jamaa anasema juzi jumapili wakt anaangalia angalia mtandaoni akaingia FaceBook akukutana na group moja linaitwa wanaotafuta wachumba, jamaa anasema yeye akaona aingie kuangaza macho, ila cha ajabu akakuta mkewe nae ni member wa hilo group.

Jamaa ni kama hajaelewa lengo la mkewe huyo kuwa kwenye group kama hilo wakt ni mke wa mtu.

Anaomba ushauri, achukue hatua gani?
Alichokifuata yeye kwenye group, ndo alichokifuata mkewe.
 
Ni matumaini yangu kila mmoja wetu ni mzima wa afya.

Kuna issue moja jamaa yangu kanisimulia na kuniomba ushauri nikashindwa hata pa kuanzia kumshauri asee.

Jamaa na mkew wako kwenye ndoa huu ni mwaka wa 5 wanaishi pamoja na wamejaaliwa kuwa na watoto wawili.

Jamaa anasema juzi jumapili wakt anaangalia angalia mtandaoni akaingia FaceBook akukutana na group moja linaitwa wanaotafuta wachumba, jamaa anasema yeye akaona aingie kuangaza macho, ila cha ajabu akakuta mkewe nae ni member wa hilo group.

Jamaa ni kama hajaelewa lengo la mkewe huyo kuwa kwenye group kama hilo wakt ni mke wa mtu.

Anaomba ushauri, achukue hatua gani?
Achukue hatua za nini tena wakati alikuwa anatafuta Mchumba mpya aka totozi.
 
Back
Top Bottom