Kaka yake shetani
JF-Expert Member
- Feb 1, 2023
- 5,771
- 14,732
hawa watoto wa siku hizi tamaa zinawapeleka puta angalie hii
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Diamond platnumzNani katumiwa hiyo msg?
😅😅😅Diamond platnumz
Umejuaje ni binti?Uyo binti anataka kumbless na jicho
Eeeh nimeona sms imekaa kibint bint...Umejuaje ni binti?
Lolote linawezekana chini ya juaEeeh nimeona sms imekaa kibint bint...
Je ina uhusiano na hiyo Logo?hawa watoto wa siku hizi tamaa zinawapeleka puta angalie hii
View attachment 3025738
Sasa wanaofanya hizo mambo wala sio maskini.....ni Tamaa tu na kujimwambafyUmaskini ni kidonda kibaya sana
Vijana wa hovyo sana.Utasikia tafuta hela
Huu msemo wa ''tafuta hela'' umepotea ghaflaVijana wa hovyo sana.
Nikisikia tu mwanaume anasema huo msemo huwa namdharau sana.
Ni msemo wa kichoko fulani hivi.
Kuna mtu ambaye hatafuti hela?
Kweli aiseeVimeseji vya kutengeneza.
hili liko wazi mkuu na unakataa siyo umasikiniSasa wanaofanya hizo mambo wala sio maskini.....ni Tamaa tu na kujimwambafy