Jamai Raja ishapoteza Muelekeo

Jamai Raja ishapoteza Muelekeo

ibanezafrica

JF-Expert Member
Joined
Oct 23, 2014
Posts
7,261
Reaction score
6,553
Kwa wale walioifuatilia tamthilia hii kupitia Azam kwa muda mrefu sasa watakubaliana na hili
Huyo Sedaat ni Kama kawa chizi sasa tofauti na alivyokua mwaka jana sasa hivi amekuja huyu msichana ambaye ati walikua pamoja utotoni na seedat naye ni chizi haeleweki!
Mchezo washautibua.. Sultan twende kazi..!
 
Back
Top Bottom