Tatizo lenu nyie msiopenda malinzi mnakuwa na mihemko na povu jingi mpk mnashindwa kumtafutia angle ya kumbana mmebaki kudandia kila hoja mpya inayoibuka ...mara ooh geita gold ,mara kajilipa mamilioni, mara kakosea kutweet ,mara mkataba wa dtb mara kapanga matokeo....nawashauri jipangeni na muache mihemko