Inaonekana watu wengi wamedakia tu hiyo tweet ya Malinzi, hawaijui historia ya FIFA na hawajafuatilia matukio ya karibun yanayoihusu FIFA.
Mtangulizi wa Blatter, Joao Havelange, waweza kusema aliiweka kando Afrika na hata Asia ktk uongoz wake. FIFA ilikuwa ya ulaya na amerika kusin kwa kiasi kikubwa. Ikumbukwe, Afrika ina kura zaid ya 54 za urais wa FIFA. Blatter aliona mwanya huo na akautumia vyema na anaendelea kuutumia. Pia Blatter amekuwa kipaza sauti cha Afrika na Asia na kwingneko ambako wanachama hawana saut ndan ya FIFA. Blatter ndiye aliyeleta kombe la dunia Afrika, ndiye analeta pesa za maendeleo ya soka k mamilion. Hili wazungu weng hawapend maana mabilion ya Fifa meng yanatoka kwao. Kwanin yaende Afrika?
Kwa FIFA ya Havelange, Afrika isingenusa kombe la dunia, achilia mbal kuandaa. Blatter ndiye aliyeamua kombe la dunia liandaliwe kimabara kwa zamu, la sivyo wangekuwa wanapasiana ulaya na amerika kusin.
So ni kweli Blatter ni mzuri kwa Afrika, ni kweli ameshndwa kuzuia rushwa ndan ya fifa. Bado waafrika watamchagua coz analinda maslah yao na anawadhibit members jeur kama uefa.
Kauli ya Malinz ni kuwa, pamoja na kwamba maofisa wa juu wa FIFA wamekamatwa kwa rushwa, lakin ilikuwa rushwa 'nzuri' maana imepeleka kombe la dunia south afrika, russia na qatar. Ndo maana amemchagua mwenye rushwa nzuri(blatter), kitu ambacho hakingewezekana kama tungekuwa tunachagua kiongoz wa dini.