Jamal Malinzi, Rais wa TFF Kujiuzulu

Tatizo watu wengine mna njaa sana kwa hiyo ulitaka wakupe
Pesa ukampikee samata kama ulivyokuwa unapewa na akina tenga hakuna pesa hiyo nayo tff inabana matumizi kama
Mashirika
Mengine ya serikali wakati katibu mkuu wa tff alikuwa nae
Kwenye tukio we unapigia kelele zako gongolamboto fala kabisa au ulitaka jamal alale air port amsubili samata wewe ni pumba nakujua unatumiwa vibaya
 
Ajiuzulu tu..na kale ka kampuni kao ka cargo ndio kamepigwa kufuli..aje tu huku matombo tulime mihogo
 
Duh
 
Baada ya Samatta kusema soka la Tanzania bado lipo chini na BBC wakamuhoji Jamal kwa kupitia kauli hiyo alianza kuweweseka kutoa majibu na kukubali ukweli kuwa soka letu lipo chini. Kwa hilo naona kama vile hana hamu na Samatta.
 
Duh hiyo heading nikadhani tayari jamaa kashajiuzulu
 
Mtamkumbuka sana ndolanga hili shuzi limekosa mjambaji
 
una uhakika hajapewa mapokezi? mmekuwa wavivu mnalazimisha mambo tuu kwani mlishindwa kwenda kumpokea?
Acha umbulula wewe tff walikua na uwezo wa kubadili tiketi ili afike hata asubuhi tu ili mapokezi yafane sababu hili ni jambo kubwa sana katika soka la tz
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…