Imani yangu inaniambia wachezaji wa Sasa ni Bora kuliko wa zamani
Kwani umeumia?Kulikuwa Kuna haja Gani YA kuandika Dini yake? Mbona mna inferiority complex nyie watu?
Hapana bali nachukia Sana mtu anapoleta ubaguzi kwenye michezo.Kwani umeumia?
Umeeleweka sheikWatu wa zamani wanazungumziwa sababu walifanya makubwa waliweza kudumu kwa kiwango chao kwa muda mrefu, sasa unataka jamal musiala azungumziwe sawa na gaucho, ama kina maradona? Yeye afanye yake atazungumziwa akifeli hakuna mtu atamzungumzia, hata hao wa zamani kuna ambao hawazungumziwi.
Zamani kulikuwa na wabovu na wazuri, hata sasa kuna wazuri na vimeo.Imani yangu inaniambia wachezaji wa Sasa ni Bora kuliko wa zamani