FK21
JF-Expert Member
- May 27, 2019
- 8,600
- 10,760
Wakuu habari za mda huu.
Ni ukweli usiopingika kuwa vipaji katika mpira huja na kupotea. Lakini kinachosikitisha ni watu wa zamani kupendelea ukale wao na kuamini kila aliecheza zamani alikuwa anajua mpira.
Hilo apo juu ni povu langu muache kukumbati ukale. Hivi kuna mtu amejaribu kumfuatilia kwa ukaribu uyu (Muislam Mjerumani) anaekipiga katika club ya Bayern Munich, kijana Jamal Musiala?
Kama hujawahi kumfuatilia, jaribu kumfuatilia. Kijana anajua sana mpira, ukifuatilia hakika utaamini kuwa OUR FOOTBALL IS IN SAFE HANDS.
Ni ukweli usiopingika kuwa vipaji katika mpira huja na kupotea. Lakini kinachosikitisha ni watu wa zamani kupendelea ukale wao na kuamini kila aliecheza zamani alikuwa anajua mpira.
Hilo apo juu ni povu langu muache kukumbati ukale. Hivi kuna mtu amejaribu kumfuatilia kwa ukaribu uyu (Muislam Mjerumani) anaekipiga katika club ya Bayern Munich, kijana Jamal Musiala?
Kama hujawahi kumfuatilia, jaribu kumfuatilia. Kijana anajua sana mpira, ukifuatilia hakika utaamini kuwa OUR FOOTBALL IS IN SAFE HANDS.