Jamal Mustafa wa Wasafi Media ni moto wa kuotea mbali

Jamal Mustafa wa Wasafi Media ni moto wa kuotea mbali

yuko njema sanaaaa! hd kipnd safi san hd redio zngn naona wamechukua idea
 
Ila wasafi Ni wehu,kwny wasafi festival watu Wana mzuka na kukata mauno ya mziki wao wakampandisha huyo dogo aje kusoma ma vitabu yake jukwaani,wahuni wakazomea mwanzo mwisho ikabidi ashuke tu.
Ndo maana ujinga umetutawala, hatuwazi kupata maarifa, akili zipo kwenye kukata mauno and the like.....
 
Sana sana yuko YouTube, The Story book.
Ni moja ya vipindi vizuri sana na kuna visa vingi sana uhadithia, vya kusisimua, kuhuzunisha, kuchekesha na kutisha zaidi na zaidi vikiambatana na picha.
Kwa Dodoma, Wasafi ni 104.1 Kalpana.

Karibu Chako tule kuku siku moja mpenzi.
Asante dear. Niliahidi ntakutafuta. Nadhani ntakutafuta jpili ntazama PM kwanza. Ila siku hizi huku opposite na Royal village kuna kuku pia halafu pamechangamkaaa. Mimi naishi Ilazo so ndo mahala napoendaga mara nyingi.
 
Ndo maana ujinga umetutawala, hatuwazi kupata maarifa, akili zipo kwenye kukata mauno and the like.....
😄😄 Yaani uje uwapigie story zako za uongo na kweli za kina Alexander the great watu wako na vibe zao?Wasomi endeleeni kupata maarifa yenu tu.
 
Mbona siku hizi kwa TV hamna the story book?
 
Asante dear. Niliahidi ntakutafuta. Nadhani ntakutafuta jpili ntazama PM kwanza. Ila siku hizi huku opposite na Royal village kuna kuku pia halafu pamechangamkaaa. Mimi naishi Ilazo so ndo mahala napoendaga mara nyingi.
Nadhano unasema Calabash au hapo kwa bubu.
Ok, naja Pm
 
Mbona siku hizi kwa TV hamna the story book?
Hipo bana i think ni ijumaa sijui jumamos!
Screenshot_20210907-214514_Instagram.jpg
 
Asante dear. Niliahidi ntakutafuta. Nadhani ntakutafuta jpili ntazama PM kwanza. Ila siku hizi huku opposite na Royal village kuna kuku pia halafu pamechangamkaaa. Mimi naishi Ilazo so ndo mahala napoendaga mara nyingi.
Nipo hapa nyuma ya Hill park, kwenye kuku tuitane

Sent from my SM-G610F using JamiiForums mobile app
 
huyo mwamba anajua ila combination yake na mtiga ndo ilikipendezesha kipindi, wakati ule anaandaa content alafu mtiga anasimulia kipindi kilikua fire sana.
Mtiga anajua sana kusimulia na kutia udambwidambwi , mimi tokea atoke yeye shauku ya kufuatilia imepungua
 
Mtiga ni msimuliaji bora, Ila Jamal ni muandaaji bora wa simulizi.
 
😂😂😂😂😂 aya kibasila boy, kipaji unacho tunaokujua vzr toka enzi zile ukiwa unazunguka na guitar lako kwenye vibweta , trouser ya shule ukiwa umeibana fulani kama wakojako afu ni dont touch my shoes , ukweli ulipelekea wengine shule tuione nyepesi .
 
😂😂😂😂😂 aya kibasila boy, kipaji unacho tunaokujua vzr toka enzi zile ukiwa unazunguka na guitar lako kwenye vibweta , trouser ya shule ukiwa umeibana fulani kama wakojako afu ni dont touch my shoes , ukweli ulipelekea wengine shule tuione nyepesi .
😂😂😂 Mmea kama Mmea...
 
Back
Top Bottom