Tairi bovu
JF-Expert Member
- Sep 28, 2017
- 3,063
- 2,985
Nilikuwa na bado naendlea kuamini kuwa jamali malinzi na michael Richard wambura ni watu wasiopaswa kabisa kuusogelea uongozi wa mpira wa miguu! sababu hawa ni sumu ya mpira . asante karia kwa kumuondoa huyu shetani wambura.
najiuliza kwann malinzi alibadilisha jesy za timu y taifa?
najiuliza kwann malinzi alibadilisha jesy za timu y taifa?