Philemon38
Member
- May 30, 2018
- 74
- 31
Ndo nn Mzee ,mie sikwenda shuleScams
Of course hata mm nimeshawatilia mashaka,thats why nimeona Ni bora niombe ushaur kwa wana forum hapaLife helper tena wanataka wewe ndio utoe pesa? Za kuambiwa jumlisha na zako
Ok thanks for this mkuuMkuu ukiangalia business model ya JHG ni Pyramid.
Siwezi kusema kwamba ni matapeli, kwani juzi kazi kuna blog za Nigeria nimefuatilia na kuona kuna wanachama wamepewa zawadi za magari. Hyundai.
Jambo la kujua ni kwamba, utafanya kazi kubwa kwa kumfaidisha aliyepo juu yako.
Kama unaweza kujiunga na kutafuta watu wawili wenye kuchapa kazi, unaweza ukajaribu bahati yako.
What is 16K katika utafutaji????