Jaman hii miguu vipi?

2 pacha

Senior Member
Joined
Dec 15, 2013
Posts
136
Reaction score
44
Jamani ndugu zangu wanajamvi nilikuwa naombeni msaada wenu. mimi bwana nikivaa viatu hata kwa nusu saa nikivua huwa kunakuwa na harufu kali sana, sasa nashindwa kuelewa tatizo nini na ni vipi nitaweza kupona tatizo hili?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…