Jamani ndugu zangu wanajamvi nilikuwa naombeni msaada wenu. mimi bwana nikivaa viatu hata kwa nusu saa nikivua huwa kunakuwa na harufu kali sana, sasa nashindwa kuelewa tatizo nini na ni vipi nitaweza kupona tatizo hili?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.