Kuna mambo ambayo mpaka sasa nashindwa kujua nfanyeje...jaman mliooa au mnaolijua hili nambieni, kuna umuhimu wa kuoa mke uliyemzidi umri?
Kuna mambo ambayo mpaka sasa nashindwa kujua nfanyeje...jaman mliooa au mnaolijua hili nambieni, kuna umuhimu wa kuoa mke uliyemzidi umri?
Ni muhimu sana tena sana, kuoa mke ambaye umemzidi walau 3 or more years. Ukipata ambaye unamzidi 5-10 yrs ni bora zaidi.
Kama unahitaji maelezo zaidi tutafutane,
Babu DC!!
Kuna mambo ambayo mpaka sasa nashindwa kujua nfanyeje...jaman mliooa au mnaolijua hili nambieni, kuna umuhimu wa kuoa mke uliyemzidi umri?
Cha muhimu ni kuoa mke anaekupenda kwa dhati, umri hauna nafasi kwenye mapenzi
hyo ilikuwa zamani bana babu DC, kinachotakiwa ni upendo na heshima tu