Jaman mapenz yapo kwel hapa.

Van l

Member
Joined
Jan 20, 2012
Posts
74
Reaction score
12
Nina mpenz ambaye tumedumu kama mwaka mmoja sasa na ninampenda sana,lakin tatizo la huyu mtu ni kwamba hanipigii cmu wala kutuma mesege mpaka cku awe anashida ya ku Do ndio ananitafuta.kwel mapnz yapo kwel hapo,?
 
Anadai ananipenda ila eth hajazoea kuwa na girlfriends,xo hajui jns ya kuwa treat nicely
 
Huyo mpenzi wa mawasiliano kwa ajili ya kudu tu, nina mashaka nae!Kama wampenda na wamuamini poa tu
 
anakuzingua tu,achana naye sasa hapo kuna future gani kama hajui wajibu wake
 
Mmh hayo nayo maneno..,!ila nimejarib mara nyng kumuacha ila mwsho wa cku najikuta naendeleza relation,idon kna nitumie njia zp kumuepuka
 
Swali zuri na la dharau pia!

kujitambua ni hatua ya kwanza... she should know what she is worth, then she will realise whether she is being treated right or not...
 
Nina mpenz ambaye tumedumu kama mwaka mmoja sasa na ninampenda sana,lakin tatizo la huyu mtu ni kwamba hanipigii cmu wala kutuma mesege mpaka cku awe anashida ya ku Do ndio ananitafuta.kwel mapnz yapo kwel hapo,?

wewe huwauna mtext na kumpigia...?au na wewe huwaunamkaushia kama anavyofanya?
 
Huyo anajipumzisha tu, lakini soon utalia...ushauri wangu kabla hajakuliza chapa lapa!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…