Jaman mapenz yapo kwel hapa.

Sorry am so sorry...nilikuwa najaribu kumkanseli si unajua mimi naelewa saikolojia za watu... najaribu kumsaidia tu...ikiwezekana naweza kukutupia PM tutakazotumia...Acha wivu najua ni uchonganishi wa Eiyer

Mi sio mchonganishi bana,imekula kwako!!Uaminifu umekushinda!
 
Last edited by a moderator:
Sorry am so sorry...nilikuwa najaribu kumkanseli si unajua mimi naelewa saikolojia za watu... najaribu kumsaidia tu...ikiwezekana naweza kukutupia PM tutakazotumia...Acha wivu najua ni uchonganishi wa Eiyer

Mi sio mchonganishi bana,imekula kwako!!Uaminifu umekushinda!
 
Last edited by a moderator:
Sorry am so sorry...nilikuwa najaribu kumkanseli si unajua mimi naelewa saikolojia za watu... najaribu kumsaidia tu...ikiwezekana naweza kukutupia PM tutakazotumia...Acha wivu najua ni uchonganishi wa Eiyer

Mi sio mchonganishi bana,imekula kwako!!Uaminifu umekushinda kijana!
 
Last edited by a moderator:
Maliza timbili lako dogo!Sisi tumekua!

Hana tatizo my sweet, kwangu ni amani kwa kwenda mbele.. Najua unadhani ulimkonga Kaunga na kasredi kako ka uaminifu..............nimemwambia atafakari mara mbilimbili kabla ya kufall jumla..Najua mengi ujue.. kifua hiki kiheshimu
 
Last edited by a moderator:
Hana tatizo my sweet, kwangu ni amani kwa kwenda mbele.. Najua unadhani ulimkonga Kaunga na kasredi kako ka uaminifu..............nimemwambia atafakari mara mbilimbili kabla ya kufall jumla..Najua mengi ujue.. kifua hiki kiheshimu

Dogo don't bring ma lovely wife here,she has nothing to do with this.Don't use ma marriage as "skepgoat"!
 
Last edited by a moderator:
But she told me that she feel nothing when comes to old boys like you

Ha,ha,ha,ha,haaaa muulize gwaride analolipata hapa,fuull mautam,madogo hawayawezi maujanja hayo!
 
Alikudakaje sasa au ww ndo ulimtemea sound? siku ya kwanza kuomba mchezo aliombaje? hamna mapenzi hapo anakupumzikia tu
 
Nina mpenz ambaye tumedumu kama mwaka mmoja sasa na ninampenda sana,lakin tatizo la huyu mtu ni kwamba hanipigii cmu wala kutuma mesege mpaka cku awe anashida ya ku Do ndio ananitafuta.kwel mapnz yapo kwel hapo,?

Yapo sana tu.
 
kuna mambo mengi wewe huwa unawasiliana naye? au nawewe huwa uko kimya tu? nakushauri jaribu kukaa naye na umueleze kilichoko ndani ya roho yako na msikie atasemaje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…