jaman mlochaguliwa mkakaze msuli

jaman mlochaguliwa mkakaze msuli

Tutakomaa tu we can tusiweke saaana mawazo ya kudisco hahahha ila starehe pembeni (wale wa kahumba)
 
Tumekupata mkuu ushauri mzuri sana mimi nitazingatia hilo
 
starehe pembeni muda wa kazi,weeeekend sana tu hahhaha au uongo QUALIFIED!?

kama kawa lazima mda wa kujickia kama msomi wa elim ya juu ambae hauna headmaster tena bali principal unapatikana ila usiwe mwng
 
Jukwaa limechachamaa acha nsepe kwa wakubwa kule ntarudi after necta ijayo tena
 
Back
Top Bottom