Nimeangalia sana bado mapish yananishindwaYouTube mavideo kama yote tafuta tu ujionee
Ok subilia wa pishi wajeNimeangalia sana bado mapish yananishindwa
SauwaOk subilia wa pishi waje
Ety ukikanda sana unga unaharibu sa nisipokanda sana sura inakuw mbay ya cakeItakua uliweka nyingi, angalia youtube fata na vipimo vyake
Sijawahi kuzipika hizo lakini hua naona hawakandi sana yes, ni rahisi kuliko maadazi.Ety ukikanda sana unga unaharibu sa nisipokanda sana sura inakuw mbay ya cake
Niliugeuza kias kwamba unga ulikuw unaonekan nikaanza kukatSijawahi kuzipika hizo lakini hua naona hawakandi sana yes, ni rahisi kuliko maadazi.
pia unatakiwa uhakikishe unga unavyokanda usiwe mgumu sana na usiwe mwepesi.
Cake haikuw na sura ikajiachia ilipoanza kuiva vipande vipandeNiliugeuza kias kwamba unga ulikuw unaonekan nikaanza kukat
Nadhani ishu yako ipo kwenye kukanda, hukuukanda ukakandika pia hakua mgumu wenye kushikana, jaribu tena kwa vipimo sahihi halafu ukande sana uwe mgumu.Cake haikuw na sura ikajiachia ilipoanza kuiva vipande vipande
Si umesema unga wa keki akandw sana kwaiyo nikawa naogop kuukanda coz nilimbiw unga wake haukandw kama maandazNadhani ishu yako ipo kwenye kukanda, hukuukanda ukakandika pia hakua mgumu wenye kushikana, jaribu tena kwa vipimo sahihi halafu ukande sana uwe mgumu.
Kuna mtu aliniambia unaugeuza geuza tu alaf unakat ila tu uwe mgumSi umesema unga wa keki akandw sana kwaiyo nikawa naogop kuukanda coz nilimbiw unga wake haukandw kama maandaz
Si umesema unga wa keki akandw sana kwaiyo nikawa naogop kuukanda coz nilimbiw unga wake haukandw kama maandaz
Muangalie hapo Dada Aroma anavyopika,Kuna mtu aliniambia unaugeuza geuza tu alaf unakat ila tu uwe mgum
Vifaa.Muangalie hapo Dada Aroma anavyopika,
kwanza uliweka baking soda kweli??
Sikuweka baking soda niliwek baking powder magad siyapend yanabadil rangi ya ungaMuangalie hapo Dada Aroma anavyopika,
kwanza uliweka baking soda kweli??
Mbona iz hazijapasuk