Khantwe
JF-Expert Member
- Dec 20, 2012
- 59,415
- 119,473
Vipi tena? Si hivyo ulivyopikaVipi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vipi tena? Si hivyo ulivyopikaVipi?
Vipi tena? Si hivyo ulivyopika
Maandazi? HayaNimepika maandazi
Militia mandaziMaandazi? Haya
Umeweka nini na nini?
Japo hamira uliweka nyingi sana.Kiwango na na idadi hutegemea mtu mwemyewe.
Mahitaji:
Nilifanyanya Unga kilo 3.5.
Tuwi lá nazi.
Há mira yachenga vijiko 5.
Baking powder vijiko 3.
Hiliki iliyochambuliwa nakusagwa niliweka kijiko kimoja.
Mafuta ya kula yaliyopashwa moto nusu kikombe.
Maziwa ya unga niliweka nusu kikombe.
Sukari nilikisia.
Mayai manne.
Chumvi kijiko kimoja.
Kwanza niliweka Unga ndani ya besia nikaweka mafuta ya kula, nikauchanganya kid go badae nikaweka hamira, baking powder nikauchanganya badae nikaweka yalibakia na mwisho nikaweka tui.
Nikaponda kama dakika 30 hivi kwa vile nimpiga vyuma nikaona wepesi tu kuponda[emoji23] na ulipondeka vizuri tu nikauwacha kama dakika 10 hivi baada ya kuuponda zen nikaukata nakuweka kwemye masufuria mpka ulipoumuka nikaanza kuchoma.
Hahaaaaa yalikuwa matamu.
Kila mmoja hutegemea aongeze nini na apunguze nini.
Bachela alafu umepika kilo3.5 kweli?Nilijipinda juzi kwa kufanya haya madubwasha. Ubechula kazi sana.View attachment 1077895
Hahaaa yaani ndugu sio 5 ni 4.Japo hamira uliweka nyingi sana.
Kwani nyingi au kid go? tupo wengi geto.Bachela alafu umepika kilo3.5 kweli?
Nan awek picha mi nishaiwekWeka picha
Mbon wanasem cake hawawek amira unatia backing powder na baking soda tuJapo hamira uliweka nyingi sana.
Hizo sio half cake. Au mie ndio nimeona vibaya?Mbon wanasem cake hawawek amira unatia backing powder na baking soda tu
Umeon ka maandaz au ha ha haHizo sio half cake. Au mie ndio nimeona vibaya?
Kwa half cake ni baking powder na backing soda.
Bechula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unatengenezaje bwana bechula
Angalia picha juu nilichokuwa naongelea.Umeon ka maandaz au ha ha ha
Ah ila jua wengin hawatumii magadiAngalia picha juu nilichokuwa naongelea.
[emoji3][emoji3][emoji3]Bechula[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]