jaman tcu mbona inashangaza,hebu soma hii......

jaman tcu mbona inashangaza,hebu soma hii......

thatha

JF-Expert Member
Joined
Apr 29, 2011
Posts
15,340
Reaction score
1,570
kuna course moja wakati wa application ilikuwa na admission capacity ya watu 100 lkn cha kushangaza jana nimecheki wanasema admission capacity ni 66,siyo hiyo tu bali kuna course nyingi admision capacity imepugua pia na namba za eligible applicant zinaongezeka wandugu hii ni nini jamani au wametoa nafasi kwa ndugu na jamaa zao zilizobaki ndo wanatuachia watoto wa wakulima tugombanie
kama hujaona nenda kacheki.
 
Kozi gani hyo mkuu,maana me kuna moja ya sua hadi inanipa homa coz watu walio eligible na waloweka kama 1st choice wanaongezeka kila baada ya dakika tano!
 
,,,,,mim ni ya coputer science engineering ya st joseph!! kwan hamna aliyewapigia tcu kujua????
 
Hapa kutakuwa kuna wizi unaendelea 2 s bure,,...uchakachuzi 2 hamna lolote.....
 
Kozi gani hyo mkuu,maana me kuna moja ya sua hadi inanipa homa coz watu walio eligible na waloweka kama 1st choice wanaongezeka kila baada ya dakika tano!
kama sikosei itakuwa Agro-economics
 
dah madogo mbona mmekaa kinegative sana ? yana hamuweza kufikeria mazuri hata kidogo, maybe kuna changes zinafanyika, u jst kip waitin
 
Back
Top Bottom